JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
..mbona Mkapa alipochaguliwa na mkutano mkuu chimwaga kulikuwa na kundi la vijana walioamua kuzomea?
..mbona Malecela alikuwa akizomewa na vijana wakati wa mchakato wa mwaka 2005? Tena hiyo ilimlazimisha mpaka aingie kwenye mkutano kenyemela -- kwa kujiiba?
..mbona Malecela alikuwa akizomewa na vijana wakati wa mchakato wa mwaka 2005? Tena hiyo ilimlazimisha mpaka aingie kwenye mkutano kenyemela -- kwa kujiiba?