Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 874
- 637
Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzania
Bungeni kuna umati gani bwashee?!Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzania
Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzaniaSifa hizo ni kwa wanunge wa CCM tu, vyama vingine ni zaidi ya hizo.
Wale 19 si wanachama wa Chadema, wako pale kwa usanii wa Ndungai.Yes! Naibu Supika aliweka sawa baada ya kutoeleweka, angekuwa wa Chadema (sio hawa 19) angafungiwa vikao viwili kwa kuishauri serikali bila kueleweka.
Taletale mzee wa PhD.
Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzaniaMbona kashindwa kusoma swali aliloandikiwa?
Kayaseme hayo mbele ya Polepole utaona cha mtemakuni.Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzania
Siyo kweli, wenye akili wameporwa ushindi kwa mtutu wa bunduki na kura za kwenye mabegi na badala yake ushindi wakapewa vilaza kama Babu Tale.Changamoto kubwa tuliyonayo katika ulimwengu, ni wenye akili hawataki kujihusisha na siasa,
Na wajinga wamepewa nafasi kutawala wenye akili na wajinga.
Kwahiyo wale watoto wa shule za msingi wanaosoma kwenye sherehe wanavipaji kuliko huyu msanii! Mungu mkuu, angeingia na yulenyerere feki wa Iringa siingekuwa balaa.Kusoma mbele ya umati ni kipaji bro,but kwa aina hii ya wabunge ni fedheha sana kwa watanzania
Huyo aliyemuandikia Mungu anamuona.Huyu mbunge kilaza alikuwa anamaanisha BUILD OPERATE AND TRANSFER modal.
Mkandarasi anajenga halafu anasimamia ili kurudisha fedha zake kwa kutoza malipo kwa watakaotumia huduma ,akirudisha gharama zake na faida kwa mujibu wa makubaliano anaikabidhi kwa umma.
Aina hii ya mikataba inafanya vizuri kwenye sehemu ambapo watumiaji wa huduma ni wengi
Muoneeni huruma huyo babu tale uelewa wake mkubwa ni kwenye mambo ya uchawi tu
Ila taratibu tutafikaKayaseme hayo mbele ya Polepole utaona cha mtemakuni.
Mkuu wa kamati ya ufundiMeneja tu wa Dayamondi.
Kwahiyo ndio Building and finance..labda Mh mbunge anataka kuleta muwekezaji atakayejenga barabara ya kulipia / toll road.
..kwa maneno mengine muwekezaji anajenga barabara, halafu anatoza fedha kwa kila chombo kinachopita ktk barabara hiyo.
Toll road ndio nini?..ukiweka toll road ni vema pia kukawa na barabara mbadala ya umma.
..binafsi siamini kama ujenzi wa toll road unaiondolea serikali jukumu la kujenga barabara za umma.
Barabara ndefu, simpo.Toll road ndio nini?
Hahaha hii nchi kazi kweli
Ni Tall au Toll?Barabara ndefu, simpo.
Sahihi kabisa mkuu..wakati mwingine mbunge asiye tajiri anaweza kuwa more charitable kuliko mbunge tajiri.
Naibu waziri alipaswa kusema kwamba "serikali ina utaratibu wake katika kutafuta wakandarasi, lakini tunashukuru kwa ushauri wako, tutaufanyia kazi na kuona kama unafaa kuingizwa ndani ya utaratibu maalum wa serikali.........Naibu waziri wa ujenzi alimjibu Taletale kwamba serikali ina utaratibu wake katika kutafuta wakandarasi na kwamba barabara za jimbo hilo ziko katika utekelezaji wa ilani ya CCM ya 2020/25.
kuna watu wanaonekana masela lknHuyu mbunge kilaza alikuwa anamaanisha BUILD OPERATE AND TRANSFER modal.
Mkandarasi anajenga halafu anasimamia ili kurudisha fedha zake kwa kutoza malipo kwa watakaotumia huduma ,akirudisha gharama zake na faida kwa mujibu wa makubaliano anaikabidhi kwa umma.
Aina hii ya mikataba inafanya vizuri kwenye sehemu ambapo watumiaji wa huduma ni wengi
Muoneeni huruma huyo babu tale uelewa wake mkubwa ni kwenye mambo ya uchawi tu
Kawaulize watu wa mkuyuni huko wananielewa vizuriSema huwa unafata " mitishamba" bwashee ya kuing'arisha Ufipa!
Uelewa wake mdogo ktk mambo hayoMbona kashindwa kusoma swali aliloandikiwa?