dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Robo ya ule ulinzi ws hayati uende kwakeMh. Shabiby apewe ulinzi haraka...
SHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Ulitaka watumie Machame express au Champion?SHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.
SHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.
Maisha yanabadilikaNi wewe Faiza?
1. Kutopewa cheoTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Alinifurahisha sana Shabiby kwa kusimama imara, ni jasiri na mpambanajiMbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Kama hivyo kwa nini shujaa wa Afrika hakuusitisha?Huu mkataba utakuwa uliingiwa na serikali ya awamu ya 4!
Kwa sababu haukulalamikiwa!Kama hivyo kwa nini shujaa wa Afrika hakuusitisha?
🤣 🤣 🤣 ukute hio kampuni ni kampuni ya wakubwaUfisadi wa kutisha wa Magufuli wazidi kuanikwa
Kama Shujaa wa Mazezeta angelikuwepo asingeruhusu haya yaibuliwe
Kalemani, afukuzwe tafadhaliMbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Aaaah nchii hii ni shamba la bibiKalemani anajidai ni mzareeendoo kumbe ni mpigaji
Asalam aleikum dada vipi hali yako Nakutakia swaum maqboolTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Nimekuelewa bwashee!Acheni kumsakama Mhe. Shabiby baada ya kuwaumbua!! Mlikuwa wapi siku zote? Hivi kuna dhambi gani Mbunge kuwa Mfanyibiashara aliyepewa tenda na Bunge kuwasafirisha Wabunge wa Kamati za Bunge??CCM ACHENI UNGESE NA UNAFIKI....!! Kwanini Mbunge akiweka waxi madudu yenu anaonekana adui na msaliti??
Wakti Bunge chini ya Ndugai wanampa hiyo Tenda Jiwe hakuwepo??
Ufipa wametuchelewesha sana!Aaaah nchii hii ni shamba la bibi
Kukaa kimya wakati ulijua kuna shida mahali hukukemea basi wewe ni tatizo piaTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Wewe bure kabisaSHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.
Kwa kasi sana...,..na kazi inaendelea!!!Maisha yanabadilika
Acha kumlaghai dada yangu!!Kukaa kimya wakati ulijua kuna shida mahali hukukemea basi wewe ni tatizo pia