Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
SHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.
 
SHABIBY mwenyewe anaongoza kwa ufisadi, Bunge linamlipa mabilioni kwa kutumia mabasi yak kwenye kamati na ni mbali kabisa na sheria za ushindani.

Acheni kumsakama Mhe. Shabiby baada ya kuwaumbua!! Mlikuwa wapi siku zote? Hivi kuna dhambi gani Mbunge kuwa Mfanyibiashara aliyepewa tenda na Bunge kuwasafirisha Wabunge wa Kamati za Bunge??CCM ACHENI UNGESE NA UNAFIKI....!! Kwanini Mbunge akiweka waxi madudu yenu anaonekana adui na msaliti??
Wakti Bunge chini ya Ndugai wanampa hiyo Tenda Jiwe hakuwepo??
 
Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.


Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
1. Kutopewa cheo
2. Dini ya Rais

Hivi vitu vilitufanya tusimuunge mkono.sasa nadhani tunaweza rudi tena kutetea mwenzetu.
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
Alinifurahisha sana Shabiby kwa kusimama imara, ni jasiri na mpambanaji
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!
Kalemani, afukuzwe tafadhali
 
Acheni kumsakama Mhe. Shabiby baada ya kuwaumbua!! Mlikuwa wapi siku zote? Hivi kuna dhambi gani Mbunge kuwa Mfanyibiashara aliyepewa tenda na Bunge kuwasafirisha Wabunge wa Kamati za Bunge??CCM ACHENI UNGESE NA UNAFIKI....!! Kwanini Mbunge akiweka waxi madudu yenu anaonekana adui na msaliti??
Wakti Bunge chini ya Ndugai wanampa hiyo Tenda Jiwe hakuwepo??
Nimekuelewa bwashee!
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom