Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.


Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Duh, na wewe?

Basi kazi ulikuwapo! Mwanzoni ulivyokuwa unaimba nyimbo za kusifu na kuabudu sasa!!
 
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Chanzo: ITV Habari

Ramadhan Kareem
Okay baada ya kukataa kwamba matapeli bado wapo waziri kaleta majibu gani ?

Na hao matapeli nani aliwaleta na baada ya kujulikana kwamba ni matapeli walichukuliwa hatua gani ?
 
Bibie kimya chako mpaka kiliniogopesha. Nimefurahi leo kukuona tena kwenye JF.
Ramadhan maqbul.
Mimi nilikuwa na wasiwasi na WASIOJULIKANA kutokana na mada yake Ile aliyotaka Jengo la IKULU ya Dar es Salaam lirudishwe kwa Waislam kutokana IKULU imeshahamia Dodoma.
 
Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.


Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Na ubabe usio na maono huo huo ukamuondoa. Watu wanakufa kwa corona yeye anasema hakuna corona ni hofu tu. Corona hiyo hiyo ikamwondoa. Hata hivyo mama Samia ana mtego mkubwa sna mbele yake. Anatakiwa a-balance asirudi kwenye utawala ''mlegezo'' na uliojaa kila aina ya uzembe na ufisadi wa Kikwete kwa kigezo cha kuogopa kuendeleza ubabe wa Magufuli. Awe mkali kweli kweli kwa wazembe na mafisadi bila ubabe na asirudie enzi za Kikwete.
 
Mbunge wa Gairo, Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema 'fee' hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Chanzo: ITV Habari

Ramadhan Kareem

kumbe na wewe uko kwenye mkumbo huu wa ufisadi?

hizo bilioni ni nothing compare na umuhimu ww wanachofanya

shabiby anataka mafuta yachakachuliwe, TBS hawana uwezo na wamekiri hawana

waziri kavunja mkataba...wajipatie hela



Tunarudi enzi za JK...za kuharibu spare

uwe na akili kujua nchi inaliwa vipi hii

sasa makampuni ya simu kwa mwezi si yanaingiza trillion??

TBS hata wakijakuwa na uwezo ..bado kutakuwa na ujinga wa kutokufanya kwa usahihi
 
Sasa ona ulivyodanganya watanzania wenzako .....akiwemo faizafoxy...umeweza🤣🤣
 
Back
Top Bottom