Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,641
- 11,994
Leo dish la johnthebaptist halijacheza!Tunazungumzia petrol!
Leo dish la johnthebaptist halijacheza!Tunazungumzia petrol!
Duh, na wewe?Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Okay baada ya kukataa kwamba matapeli bado wapo waziri kaleta majibu gani ?Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Chanzo: ITV Habari
Ramadhan Kareem
then ikaendelea au sioHii itakuwa iliingiwa na Ngeleja bwashee!
Mimi nilikuwa na wasiwasi na WASIOJULIKANA kutokana na mada yake Ile aliyotaka Jengo la IKULU ya Dar es Salaam lirudishwe kwa Waislam kutokana IKULU imeshahamia Dodoma.Bibie kimya chako mpaka kiliniogopesha. Nimefurahi leo kukuona tena kwenye JF.
Ramadhan maqbul.
Mbunge Tabasamu ameitaja kwenye Taarifa yake. Isikilize tena hiyo clip.Naona habari ijakamilika kabisa,ungesema jina la kampuni na ili sign mkataba na Ewura lini?
yaani mtu kajiamlia kufanya kitu unamhusishaje na mtu mwingine huo ni ushambaUfisadi wa kutisha wa Magufuli wazidi kuanikwa
Kama Shujaa wa Mazezeta angelikuwepo asingeruhusu haya yaibuliwe
It's ur turnKwa jina laJamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Na ubabe usio na maono huo huo ukamuondoa. Watu wanakufa kwa corona yeye anasema hakuna corona ni hofu tu. Corona hiyo hiyo ikamwondoa. Hata hivyo mama Samia ana mtego mkubwa sna mbele yake. Anatakiwa a-balance asirudi kwenye utawala ''mlegezo'' na uliojaa kila aina ya uzembe na ufisadi wa Kikwete kwa kigezo cha kuogopa kuendeleza ubabe wa Magufuli. Awe mkali kweli kweli kwa wazembe na mafisadi bila ubabe na asirudie enzi za Kikwete.Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Siyo list ni risiti. Shule gongana.Hapo ndipo ninapo nunua kitu kwa muhindi, ananiuliza unataka bei ya list au haina list! Jibu ninalo mwenyew.
Mbunge wa Gairo, Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema 'fee' hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Chanzo: ITV Habari
Ramadhan Kareem
Kama yeye ndie alitia saini, basi akamatwe kwa haraka mno!!Kalemani akamatwe haraka sana
Ila mihela yote hiyo huwa wanafanyiaga nini hawa wenzetu, mbona nyingi kwa matumizi ya kawaida ya binadamu?Nchii hii watu wanakula sana keki.......kila mtu akipata nafasi anapiga tu, maana haina mifumo mizuri
Maskini hujui jk ndio mwenye hii kituUfisadi wa kutisha wa Magufuli wazidi kuanikwa
Kama Shujaa wa Mazezeta angelikuwepo asingeruhusu haya yaibuliwe