LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,954
- 5,518
Bibi za siku?Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Heshima yako bibi yangu.
Mfungo mwema
Bibi za siku?Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Unataka kusema jiwe alikuwa hajajuzwa akawafanyia surprise visitNa awamu ya 5 ukaendelea..!!!
Yaani kuna mambo yanavyoripotiwa na jinsi yalivyo kama huyajui vizuri unaweza kujikuta umepata deppression.Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Uzalendo wako uko wapi ndugu?Acha kumlaghai dada yangu!!
Ulitaka yamtokee yale ya Tundu Lissu, Benn Saa8, Azory Gwando. Alphonse Mawazo na wengineo???
DuuuhUfipa wametuchelewesha sana!
Inaitwaje bwashee?Yaani kuna mambo yanavyoripotiwa na jinsi yalivyo kama huyajui vizuri unaweza kujikuta umepata deppression.
Hiyo kampuni naifahamu na in a wafanyakazi wengi tu lakini humu kama hawapajui. Ila bongo kuna siri aisee!!
hiyo tenda ya kusafirisha uliiona wapi?Acheni kumsakama Mhe. Shabiby baada ya kuwaumbua!! Mlikuwa wapi siku zote? Hivi kuna dhambi gani Mbunge kuwa Mfanyibiashara aliyepewa tenda na Bunge kuwasafirisha Wabunge wa Kamati za Bunge??CCM ACHENI UNGESE NA UNAFIKI....!! Kwanini Mbunge akiweka waxi madudu yenu anaonekana adui na msaliti??
Wakti Bunge chini ya Ndugai wanampa hiyo Tenda Jiwe hakuwepo??
Mbona kampuni aliyosema Shabiby nchi hii ipo moja tu, why watu wanashindwa kuijua. Kampuni ina miaka zaidi ya 10 wanaongea leo utafikiri imekuja juzi wakati kila mara EWURA huwa wanaiongezea tenda.Inaitwaje bwashee?
Bwashee mbona unaogopa hata kuitaja tu?!!Mbona kampuni aliyosema Shabiby nchi hii ipo moja tu, why watu wanashindwa kuijua. Kampuni ina miaka zaidi ya 10 wanaongea leo utafikiri imekuja juzi wakati kila mara EWURA huwa wanaiongezea tenda.
Kuna kutafutana mzee. Hukusikia Lake Oil wakitaka kumpa hela Melo awape data za mtu aliyewalipua humu JF na mpaka leo wana kesi mahakamani kwa kukataa kumtaja huyo mtu.Bwashee mbona unaogopa hata kuitaja tu?!!
haya semaneni sana, yaani tutajua mengi baada ya mwendazake kuzuia watu wasiongee kwa miaka 6 mfululizo - Fungukeni msiogope Mama yupo atawaamulia...Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi aju7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Chanzo: ITV habari
Ramadhan Kareem!
Mello wa JF nimtu poa sana, aliletewa mamilioni ya Lake Oil lakini alikataa, jamaa ni mtu na nusu.Kuna kutafutana mzee. Hukusikia Lake Oil wakitaka kumpa hela Melo awape data za mtu aliyewalipua humu JF na mpaka leo wana kesi mahakamani kwa kukataa kumtaja huyo mtu.
Nilikuwa sijaingalia hiyo video, mbona kampuni imetajwa bwashee. Inaitwa GFIBwashee mbona unaogopa hata kuitaja tu?!!
alafu hawajui kama Samia ni rais , wanamlilia JIWE.Ukimwangalia Kalemani ni kama mtoto yatima- Hana confidence, kama vile amekata tamaa
Nilikuwa sijaingalia hiyo video, mbona kampuni imetajwa bwashee. Inaitwa GFI
Sikikiza kuanzia dakika ya 9:10 - 9:18.
Karibu tena mkuu.Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.