johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Mbunge wa Gairo Bilionea Ahmed Shabiby ameitaka Serikali kuchukua na kuyafanyia Kazi Mawazo ya Wananchi kuhusu Bandari
Shabiby amesema si kila anayeipinga Serikali na kuikosoa ni Mpinzani wengine ni Wazalendo waliotukuka
Source: Mwanzo TV
Jumaa kareem!