Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Huyo hastahili kabisa heshima unayo mpatiaBibi shikamoo ulipotea Sana .Nikutakie mfungo mwema
Huyo hastahili kabisa heshima unayo mpatiaBibi shikamoo ulipotea Sana .Nikutakie mfungo mwema
Watakuwa wamepiga sana mpunga just imagine 5b kila mwezi kwa miaka 5
Allah akutunze Bi Mkubwa!Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.
Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS
Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.
Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli
Source: ITV habari
Ramadhan Kareem!
HahaaaTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
out of topicDalali wa AstraZeneca anasemaje?
sasa mtu hayuko bungeni unataka aseme nn?Ndiyo anasemaje kuhusu petrol? Kuna watu humu wanaishi kwa kufuata mawazo ya vibaraka wa mabeberu - Lissu, Mbowe, et al. bila hao hawawezi kuwa na msimamo.
Busara sanaTutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Hivi sasa Chama cha Mataga ni full kuumbuana. Waziri mzima kuumbuliwa na Mbunge tena wa Chama kimoja ni hatari sana.Ni kuweka vinasaba na sio rangi, jibu la kalemani lilinitia mashaka sana kwanini alikimbilia haraka kusema mkataba wa kampuni hiyo umesitishwa? Kwanini sasa? Je alijua kuwa kweli ulikuwa ni wa kifisadi? Hii issue haijakaa sawa pia Shabby alisema ana majina ya wabunge waliopewa rushwa na huyo agent ili EWURA wampe kandarasi Agent huyo.
Tutasikia na kuona mengi sana hivi sasa.
Ni heri wabwabwajaji tulijikalia pembeni. Ubabe usio na maono ulitushinda.
Hii itakuwa iliingiwa na Ngeleja bwashee!
Mawazo mgandoNdiyo anasemaje kuhusu petrol? Kuna watu humu wanaishi kwa kufuata mawazo ya vibaraka wa mabeberu - Lissu, Mbowe, et al. bila hao hawawezi kuwa na msimamo.
Hakuna tofauti na uchoraji wa picha ya twiga katika ndegeTuliambiwa mikataba ya kifisadi yote iliisha alipoingia JPM. Kumbee
Huko tuendako kikitokea kitu kinaitwa maandamano kaburi lake litacharazwa bakora na kupopolewa maweUfisadi wa kutisha wa Magufuli wazidi kuanikwa
Kama Shujaa wa Mazezeta angelikuwepo asingeruhusu haya yaibuliwe
Kalemani ni Mbunge wa chato na Watu wa chato wanajulikana kwa upigaji wa pesa za walipa kodi? Kampuni ya nani hii yenye huu mkataba!? Usikute ni kampuni ya Jiwe? Na huu mkataba umesitishwa lini? Details ziwekwe hadharani tangu mwanzo wa mkataba hadi kusitishwa kwake.