Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saasisha Mafuwe ametoa mapendekezo leo Bungeni, Dodoma akiomba Tanzania iwe na siku maalum ya kumkumbuka Hayati Dr. John Pombe Magufuli (Magufuli Day) kwa ajili ya kuyaenzi mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli enzi za uhai wake.
“Napendekeza kuwe na Magufuli Day ili kumuenzi JPM lakini pia hapa Dodoma kujengwe kituo Maalum cha kutunza kumbukumbu za Hayati Magufuli na kwenye mtaala wetu kwenye somo ambalo Hayati alilipendekeza la Historia ya Tanzania, kuwe na Historia ya Magufuli”
“Napendekeza kuwe na Magufuli Day ili kumuenzi JPM lakini pia hapa Dodoma kujengwe kituo Maalum cha kutunza kumbukumbu za Hayati Magufuli na kwenye mtaala wetu kwenye somo ambalo Hayati alilipendekeza la Historia ya Tanzania, kuwe na Historia ya Magufuli”