Mbunge Saasisha apendekeza Serikali iweke siku maalum ya Magufuli Day

Inabidi itafutwe siku moja tu ndio iwe ya kuwaenzi hawa waenda zao

Maana yake kuna karume n Nyerere. Sasa hivi meko.
Atakuja samia, atakuja mpango.

JK na mzee mwinyo hawa bado wapo sana
 
Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saasisha Mafuwe ametoa mapendekezo leo Bungeni, Dodoma akiomba Tanzania iwe na siku maalum ya kumkumbuka Hayati Dr. John Pombe Magufuli (Magufuli Day) kwa ajili ya kuyaenzi mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli enzi za uhai wake...
Uhuru wa maoni!
 
Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saasisha Mafuwe ametoa mapendekezo leo Bungeni, Dodoma akiomba Tanzania iwe na siku maalum ya kumkumbuka Hayati Dr. John Pombe Magufuli (Magufuli Day) kwa ajili ya kuyaenzi mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli enzi za uhai wake...
JPM alivyokuwa hapendi rushwa, angejua ulihonga pikipiki 17 kwà makatibu kata wote wa ccm kule hai ,jina lako lisingerudishwa.
 
Siku zitabaki za Nyerere na Karume tu kwasababu walipigania uhuru, kila mtu akitaka jina lake liwekwe Public holiday ni matumizi mabaya ya muda wa kazi
 
Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saasisha Mafuwe ametoa mapendekezo leo Bungeni, Dodoma akiomba Tanzania iwe na siku maalum ya kumkumbuka Hayati Dr. John Pombe Magufuli (Magufuli Day) kwa ajili ya kuyaenzi mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli enzi za uhai wake...
Haina maana hata kidogo
 
Kwa mwendo wa hawa wabunge wa CCM bado tunasafiri ndefu ya kutoka hapa tulipo.
Ikiwa kila kiongozi atawekewa siku ya kumbukizi yake, itafika hatua itakuwa ni kumbukizi tu.
Hao waasisi waliowekewa kumbukizi inatosha, kutokana na walivyoipigania Tanzania mpaka hapa ilipo leo.
 
Mbunge wa Jimbo la Hai (CCM), Saasisha Mafuwe ametoa mapendekezo leo Bungeni, Dodoma akiomba Tanzania iwe na siku maalum ya kumkumbuka Hayati Dr. John Pombe Magufuli (Magufuli Day) kwa ajili ya kuyaenzi mazuri aliyoyafanya Hayati Magufuli enzi za uhai wake.

“Napendekeza kuwe na Magufuli Day ili kumuenzi JPM lakini pia hapa Dodoma kujengwe kituo Maalum cha kutunza kumbukumbu za Hayati Magufuli na kwenye mtaala wetu kwenye somo ambalo Hayati alilipendekeza la Historia ya Tanzania, kuwe na Historia ya Magufuli”
Huyu ni katika wale wabunge waliolala na kuamka anaambiwa umeshinda jimbo jiandae na safari ya dodoma bungeni
 
Siku alozikwa ndio itakuwa public holiday. mwache aiite Magufuli day si tatizo.
 
Kuna graduate wa diploma ya social sciences wengi wanaweza kujenga hoja vyema kuliko huyo jamaa kama ni hivyo.
 
1617176749819.png
 
Nawakumbusha ile shule kule arusha haina vyoo,kwa umuhimu wake
Tuanze na hiyo kwanza
Halafu tuje huko anapotaka
Sio mbaya
 
Back
Top Bottom