peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,456
Mada tajwa hapo juu yahusika.
Pamoja na CCM kuwa inatumia demokrasia kwenye changuzi zake, huko Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro hali ni tofauti kidogo.
Aliyekuwa Katibu mwenzi wa CCM wa Jimbo la Hai ameajiriwa na serikali bila kujua Elimu yake na bila kufanya mitihani kupitia jitihada Za mbunge wa Jimbo la Hai.
Hilo halikutosha, mbunge Huyo amejitokeza na kumpigia kampeni mama Vigo ili awe Katibu mwenzi mpya wa Chama cha Mapinduzi bila kujua taratibu Za chama na kwa maslahi yake mwenyewe na ili kurudisha fadhila kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu mama Vigo alimwazima Saashisha magari ya kufanya kampeni kwenye jimbo la Hai.
Nia ya Mbunge ni kupanga safu ya uongozi ngazi ya chama wilaya kwani ameanza pia kumfanya mwenyekiti wa ccm wilaya kampeni ili aweze kuchaguliwa tena.
Bila chama kuchukua tahadhari muhimu na Za haraka chama kinaelekea kulipoteza jimbo .
Ni ushauri tu.
Pamoja na CCM kuwa inatumia demokrasia kwenye changuzi zake, huko Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro hali ni tofauti kidogo.
Aliyekuwa Katibu mwenzi wa CCM wa Jimbo la Hai ameajiriwa na serikali bila kujua Elimu yake na bila kufanya mitihani kupitia jitihada Za mbunge wa Jimbo la Hai.
Hilo halikutosha, mbunge Huyo amejitokeza na kumpigia kampeni mama Vigo ili awe Katibu mwenzi mpya wa Chama cha Mapinduzi bila kujua taratibu Za chama na kwa maslahi yake mwenyewe na ili kurudisha fadhila kwani mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu mama Vigo alimwazima Saashisha magari ya kufanya kampeni kwenye jimbo la Hai.
Nia ya Mbunge ni kupanga safu ya uongozi ngazi ya chama wilaya kwani ameanza pia kumfanya mwenyekiti wa ccm wilaya kampeni ili aweze kuchaguliwa tena.
Bila chama kuchukua tahadhari muhimu na Za haraka chama kinaelekea kulipoteza jimbo .
Ni ushauri tu.