akili za huyu "msukuma" dah...aache kujiita msukuma kunachochea ukabila, kila mbunge akianza kujiita jina la kabila lake mihemko ya kikabila itaanza tzYupo musukuma kaagiza maprofesa wote kutafutia watu ajira
Huyu hapaUmemsahau pia na mbunge wa mikumi mkuu yeye tayari alishaanza kupiga mzigo kwa kuanzisha barabara mpya na alisimamia mwenyewe bahati mbaya picha zinakataa kuzi upload
Watu wa bonde la mkwajuni wanajua,waliitwa CHURAunafikiri angekuwa azzan angepeleka shauri mahakamani
acha kumjibu mpumbavu kama huyu, unajishushia heshimaMkuu point sio kushinda kesi... Point ni kujaribu kila njia kutetea wananchi, hata akishndwa kesi... Ila amejitokeza kuwatetea, hicho ndicho tunachomsifia.... Watz inabid tujenge destur ya kupembua vitu kwa umakini... Tusikurupuke
v
akili za huyu "msukuma" dah...aache kujiita msukuma kunachochea ukabila, kila mbunge akianza kujiita jina la kabila lake mihemko ya kikabila itaanza tz
Poleni sana kwa kuendelea na huyo bingwa wa mipashoAaaah kibajaji mpaka leo hatujamtia machoni yahe twafaaaaaaaa
Hao ndio wabunge wanaotakiwaJana nimemuona Heche akichukua maoni na shida za wananchi Sirari. Nafikiri yuko sahihi
Mkuu picha hazifungukiHuyu hapa
Kumbe Humu Nako Kuna Mbumbumbu Na Misukule Kama Fb!!!!!!!???? Eti Akili Za Chekechea!!! Hivi MBUNGE Kwenda Mahakamani Kuomba SERIKALI Ifuate Sheria Na Taratibu, Ndio Kutafuta Kick!!!!!!!??? Kama Ww Ndiye Mwenye Akili Za University!! Tuambie Ni Nani Aliyeanza Kujenga Ktk Mabonde Ya Dar!!!!?? Si CCM Yenyewe Ndio Iliyoanza Kujenga Bonde La Mto Msimbazi, Eneo La Kati Ya Tabata Matumbi, Buguruni Na Kigogo!!! Kabla Ya Wao CCM Kujenga Majengo Yao Na Kuanzisha Mradi Waliouita SUKITA!!! MATOKEO Yake Bonde Loote Jirani Na Sukita Kumejengwa Magodauni, Mayadi, Magereji, Viwanda Na Maofisi!! Na Raia Wamejenga Makazi Yao!! Ikiwa Uwanja Wa Klabu Ya Yanga Uko Jangwani Na Unatakiwa Kubomolewa, Vp Kuhusu Ofisi Za DARTS Pale Jangwani Kabisa!!!!! Je VIWANDA, Magodauni, Magereji, Mayadi Na Maofisi Yaliopo Kati Ya Tabata Matumbi Na Buguruni Ally Hamza!!!!!!???? Haya Why WANANCHI Wale Walipigwa Picha Na Kuandikishwa Majina, Kwa Zoezi La Kupatiwa VIWANJA, Lkn Hadi Wanabomolewa Hawajapatiwa!!!!?? Na Kule Mabwepande Kumejaa Tayari!!!!?? Je, Hapo Hakuna Mchezo Mchafu Uliyochezwa Na WATENDAJI!!!!!????mambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
Mkuu pole sana umeongea kwa uchungu na hisia kali lkn hao unao waona wanashabikia watanzania wenzetu kunyanyaswa na watawala ni vijana wa lumumba maana wao kila jambo ni itikadiKumbe Humu Nako Kuna Mbumbumbu Na Misukule Kama Fb!!!!!!!???? Eti Akili Za Chekechea!!! Hivi MBUNGE Kwenda Mahakamani Kuomba SERIKALI Ifuate Sheria Na Taratibu, Ndio Kutafuta Kick!!!!!!!??? Kama Ww Ndiye Mwenye Akili Za University!! Tuambie Ni Nani Aliyeanza Kujenga Ktk Mabonde Ya Dar!!!!?? Si CCM Yenyewe Ndio Iliyoanza Kujenga Bonde La Mto Msimbazi, Eneo La Kati Ya Tabata Matumbi, Buguruni Na Kigogo!!! Kabla Ya Wao CCM Kujenga Majengo Yao Na Kuanzisha Mradi Waliouita SUKITA!!! MATOKEO Yake Bonde Loote Jirani Na Sukita Kumejengwa Magodauni, Mayadi, Magereji, Viwanda Na Maofisi!! Na Raia Wamejenga Makazi Yao!! Ikiwa Uwanja Wa Klabu Ya Yanga Uko Jangwani Na Unatakiwa Kubomolewa, Vp Kuhusu Ofisi Za DARTS Pale Jangwani Kabisa!!!!! Je VIWANDA, Magodauni, Magereji, Mayadi Na Maofisi Yaliopo Kati Ya Tabata Matumbi Na Buguruni Ally Hamza!!!!!!???? Haya Why WANANCHI Wale Walipigwa Picha Na Kuandikishwa Majina, Kwa Zoezi La Kupatiwa VIWANJA, Lkn Hadi Wanabomolewa Hawajapatiwa!!!!?? Na Kule Mabwepande Kumejaa Tayari!!!!?? Je, Hapo Hakuna Mchezo Mchafu Uliyochezwa Na WATENDAJI!!!!!????
Kwahiyo jamaa wakishinda utafanya nini?KAMA SHERIA HAZIKUFUATWA NYUMBA ZITABOMOLEWA TU HATA UKICHELEWESHA