Wacha kutudanganya hakuna kazi aliyoanza muhongo mimi nipo hapa musomaAaah muhongo anamaliza kazi musoma kijana
Arusha baada ya kumpata mbunge lema imegeuka kuwa dubaiHuku Arusha tunasubiri amri ya maandamano kutoka kwa mbunge wetu.
Kweli kabisa mkuu hata hao jamaa wakiwacha uoga wakadai haki yao watafanikiwaameishashinda kwa maana ya kuzuia zoezi mpaka kesi ya msingi isikilizwe, hilo tu linatosha sana kuiamsha hii serikali ya matukio na kukurupuka kuwa kuna utawala wa sheria, na kila mtu ana haki ya kusikilizwa hata kama ni mkosaji, I wish the same iapply kwa watumishi waliosimamishwa kazi ghafla na wanasiasa bila kusikilizwa,
Nope..he is a lawyer by proffession!
Yupo musukuma kaagiza maprofesa wote kutafutia watu ajira
Teeeeeee teeeeeeeeeh teeeeeeeeh endelea kuota,huyo ndiye mbunge wenuKomu ni ngombe tu
Ccm chaliiiiiiiiiiendeleeni tu 2020 tutawanyoosha kama tulivyofanya mwanza na kigoma
unafikiri angekuwa azzan angepeleka shauri mahakamanimambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
So...!..he is a lawyer by proffession!
Kweli Lwakatare kaanza kazi juzi alikuwa na mafisadi wa Escrow kina Ruge.Rekwatare Bukoba mjini.
Walau leo hawajabomolewa,Mbunge anachotaka watu wake wapewe ardhi kama.walivyopewa wenginemambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
Basi sisi WA Tmk mbunge wetu alishaweka zuio kama hilo tangu mwaka janamasaki