bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Mbona mara mwalimu,sasa tuelewe nini?au ana profession nyingi?Nope
MAULID SAID MTULIA ANA PGD in HR
Mbona mara mwalimu,sasa tuelewe nini?au ana profession nyingi?Nope
MAULID SAID MTULIA ANA PGD in HR
Nassari ni mwigizaji hawezi kutuambia anachangia mil 45 kwa kusomesha watoto yatima wakati anajua elimu ni bure hivi sasa hadi kidato cha nne. Huu ni mchezo wa kuigizamasaki
Ukijua dalili za msukule huwezi pata tabu kuwajua misukuleivi unaanzaje kumuita binadamu mwenzako msukule kwa mfano??? umejuaje kama msukule??
Kwaiyo ulivo sikia elimu bure ukajua magufuli anawanunulia wanafunzi madaftari.na viatuNassari ni mwigizaji hawezi kutuambia anachangia mil 45 kwa kusomesha watoto yatima wakati anajua elimu ni bure hivi sasa hadi kidato cha nne. Huu ni mchezo wa kuigiza
Wewe ndie unajitoa ufahamu...ni watu wangapi wanaonewa na kukosa misaada ya kisheria.... japo ni inshu ya kisheria kama mbunge angetulia...leo wote si wangelala nje japo wana haki...mambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
We nawe ni kanyaboya kabisa na ni mbumbumbu wa kwanza,hivi kama si huyu mbunge kutafuta wanasheria na kufungua kesi watu leo si tungelia sana? Huyu jamaa kapigania wewe,na wale wanasheria anawalipa yeye,mambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
Kushindwa hakumaanishi hakutimiza wajibu wakemambo ya kisheria kujiamisha kua mbunge amefanya kazi ni kujitoa ufahamu na kumpa sifa zisizomhusu siku mkibwagwa mahakamani mtasemaje? mnampa kick ya bure na kwa tabia ya wanasiasa wanapenda sana hizo akili zenu za chekechea
Ole wao kama wangemchagua azzan muda huu wanatafuta pa kulala! Hongera sana mtuliaHasaa kijana amenifurahisha sana
We mbona ni Kubenea ndiye alikuwa mbunge wa kwanza kuanza rasimu hiyo kazi na kufika huko mahakamani kwa kumtukana DC!Ni Mbunge wa kinondoni Maulid Mtulia, wengine bado wanashangilia ushindi afu uchaguzi ujao tukiwapiga chini wanakimbilia mahakamani kulalamikia
kushindwa kwao. Umeanza vizuri ndugu Mtulia kwa kuionesha serikali kuwa kuna utawala wa sheria hakuna kukurupuka.
Na Kingu wa Singida MangharibiNassari asisahaulike