Mbunge Oilver Semguruka Atatua Tatizo la Ukosefu wa Maji Shuleni

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,902
945

MHESHIMIWA OLIVER ATATUA TATIZO LA UKOSEFU WA MAJI SHULENI

🏷️Leo Tar 22 September, 2023 Mhe Oliver Daniel Semuguruka (Mbunge Viti maalum Mkoa wa Kagera) alikuwa Mgeni rasmi katika mahafali ya shule ya Msingi Mgeza Mseto Bukoba Mjini, ambayo shule hiyo ni ya watoto wenye MAHITAJI MAALUMU.

🏷️ Pia Mhe. Oliver Amewakumbusha wazazi kutowatenga watoto wenye mahitaji maalumu. Badara yake wawakumbatie na kuwapa Elimu Bora na Kuwapa haki zote za mtoto za Msingi.

🏷️ Zaidi ya yote hayo Mheshimiwa Oliver ametatua tatizo la ukosefu wa maji shuleni hapo kwa kutoa Tank mbili zenye ujazo wa Lita 5000 kila moja.

🏷️Ikumbukwe Leo hii hii Mbunge huyu ameshiriki matukio mawili Kwa siku Moja (Mgeni Rasmi Mahafari na Kushiriki kikao cha Halmashauri kuu ya Mkoa ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Kassim Majaliwa Waziri Mkuu Tanzania) Hii ndio maana sahihi ya Neno "TUKUTANE SITE"

UNAPIGWA MWINGI HADI UNAMWAGIKA
#KaziIendelee......
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.26.59.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.26.59.jpeg
    72.9 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.00.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.00.jpeg
    118.9 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.00(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.00(1).jpeg
    101.1 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.01.jpeg
    WhatsApp Image 2023-09-23 at 15.27.01.jpeg
    100.5 KB · Views: 2
Umekosea haya ya kwanza umesema Leo. Iyo ni jana mkuu, leo tarehe 23.

Pili, kama kuna tatizo la maji no vizuri kudevelop new water source (mfano kuchimba kisima) na sio kutafuta matank.

Tatu, tank la 5000L ni dogo sana, ilo ni kwa ngazi ya familia.

Imagine kama mtoto mmoja anatumia 50L/P/D inamaana watoto 100 tu 5000L zishaisha kwa siku.

Kwahiyo izo tank mbili zinatosha kusave watu 2000 tu.

Na mwisho, bei ya izo tank zote mbili ni chini ya 1.5m kwa mtu mzito kama yeye angechimba kisima tu.
 
Back
Top Bottom