Mbunge Kijana wa Singida Kaskazini, kupitia CCM, Lazaro Nyalandu, anatarajiwa kufunga ndoa na mrembo, Faraja Kota, katika Kanisa la KKKT Azania Front na baadaye Reception, Diamond Jubilee, kwa waalikwa tu. Itatanguliwa na Sendoff, Msasani Beach Club Novemba 30
Duh! Kiazi! Simfahmu vizuri Nyalandu lakini kumuita kiazi ni 'too much' ndungu Ushirombo. "Isekhuu Nyalandu onghoa wang'u antu viekhe unong'ona."
Kila la heri Lazaro & Faraja.
Naona tapeli Nyalandu ameamua kuhalarisha ndoa yake na Faraja!! Hongera sana na kwa heri kambi ya makapera.Wasi wasi wangu wataweza dumu? maana Lazaro ni kiazi sana na Faraja is a smart lady....kazi ipo!!
Duh! Kiazi! Simfahmu vizuri Nyalandu lakini kumuita kiazi ni 'too much' ndungu Ushirombo.
"Isekhuu Nyalandu onghoa wang'u antu viekhe unong'ona."
Kila la heri Lazaro & Faraja.
Naona tapeli Nyalandu ameamua kuhalarisha ndoa yake na Faraja!! Hongera sana na kwa heri kambi ya makapera.Wasi wasi wangu wataweza dumu? maana Lazaro ni kiazi sana na Faraja is a smart lady....kazi ipo!!
Lazaro bado ana kesi ya kujibu kule Forrest City, Iowa. Alimbakaga msichana wa Kinamibia.