Mbunge Nassari alipotea njia CHADEMA

NASSARY ametokana wapi na MACCM? Namuonea huruma sana.
Mussa Allan kada maarufu wa CCM hadi pale bosi wake Lowassa alivokatwa.
Sasa hivi ni kamanda feki anayeishabikia Chadema hadi pale bosi wake Lowassa atakapokatwa tena na Chadema kabla ya uchaguzi wa 2020 na hapo matusi yake yataigeuikia Chadema.
 
CCM ni mutu jinga sana, mbona Filikunjombe alikubalika tu kwa utashi wake na alisifiwa bila kuambiwa kuwa kapotea huko alipokua.
Anyway hutaki Nasari awe chadema kwani haya matendo yake huko uchina yanafanana na ya mbunge yupi wa CCM hadi uamini kuwa ccm ndiyo anastahili kuwepo?
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
Ulitaka ajiunge na chama la wazee
 
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!

By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.

Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Hivi hapa ume comment nini? Kosa la Nassary liko wapi hapa? Una tofauti gani ma wana CCM waliomponda Wilfred Lwakatare kwa kwenda kutoa misaada kwenye hospitali ya mkoa wakidai walioikataa hiyo misaada wapo sawa kwa kuwa hiyo si kazi ya mbongo!! Inaonekana kiroho na kiakili bado upo CCM uwepo wako Chadema unategemea zaidi uwepo wa Lowasa
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
na wewe kama au kama serikali ya ccm ina ushahidi wa ufisadi wa Lowasa wamfikishe Mahakamani vinginevyo wewe ni mnafiki na mnamuogopa Lowasa wewe na serikali yako
 
Ulitaka aje ccm ili mmuundie ajali? CCM janga la uadilifu, KOLIMBA, SOKOINE, FILIKUNJOMBE MGIMWA .R.I.P
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
Ushaanza kujikomba komba kwa wana cdm tayari,na bado hapo utawasifia wabunge woote wa cdm na kuwapona wale wa ndiyooooooooooo
 
Kwa mchango wako huu bora utoe picha ya lowasa unamwaibisha huyo Mzee.


NASSARY anafanya both.

Kuisimamia serikali na kuwasaidia wananchi moja kwa moja.


Naungana na mtoa maada kumtaka nasssari aondoke haraka kwenye chama cha wanafiki chagadema
Nyie ndio wanafik mpk mna kera pumbavu mtu wetu anaeahusu nn c mnayomagarasa na waziri mizigo
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!

lissu and the like wanagawa mbegu kama hujui!; Hugo dogo ni utoto tu kwa kugawa ubwabwa ambao ni shiba ya leo! sasa kipi bora mtu akupe sembe au mbegu?
 
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!

By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.

Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Kamanda unasahau kuweka akiba ya maneno.akiwa wa ccm mnasema hajafanya chochote,akiwa mbunge wa manyumbu mnatuambia si kazi ya mbunge kuleta maendeleo
 
Kwa mchango wako huu bora utoe picha ya lowasa unamwaibisha huyo Mzee.


NASSARY anafanya both.

Kuisimamia serikali na kuwasaidia wananchi moja kwa moja.


Naungana na mtoa maada kumtaka nasssari aondoke haraka kwenye chama cha wanafiki chagadema
Aende ACT
 
Back
Top Bottom