Mbunge Nassari alipotea njia CHADEMA

Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
CCM hakuna Mbunge wa kujifananisha na Nasari
 
Siasa tuweke pembeni, wabunge ni watumishi wa wananchi, inafurahisha kumuona mbunge kijana asiyeongozwa na mawazo ya kuishi kifahari kwa faida ya walio wengi. Future ya Nassari ni nzuri sana, ni hazina nyingine ya nchi hii, ni miongoni mwa kina Zitto Kabwe, Hamis Kigwangalla, Joseph Haule, Mwigulu Nchemba, Esther Bulaya na wengine wengi watakaomwaga cheche bungeni.
 
Mleta mada jaribu kuwa ukweli,CCM ina wabunge zaidi ya 280,nitajie mbunge hata mmoja wa CCM aliyefanya anayoyafanya Mh.Nasari.

Jimbo la Tundu Lisu ni miongoni mwa majimbo wachache yaliyotekeleza kwa vitendo agizo la kujenga maabara katika shule za Sekondari.Mh.Lisu alilisimamia hilo na likatekelezwa bila ya kukusanya hata senti tano toka kwa wananchi.

Yapo mengi yafanywayo na wabunge wa upinzani ambayo hayawezi kufanywa na wabunge wa CCM,jambo la msingi ni wabunge wa CCM wajifunze toka kwa wenzao wa upinzani badala ya kuishia kupiga kelele za ndiyoooooo mjengoni.
 
Arumeru hawakukosea na hawatakuja kujuta kwa kumchagua Mh Joshua Nassary.Nassary amedhibitishwa kwamba yuko kwa ajili ya kuwatumikia wananchi na hayuko kwa ajili ya kujilimbikizia mali.Hongera sana Mh Nasary nakutakia kila lilo jema katika utumishi wako.
 
Arumeru hawakukosea na hawatakuja kujuta kwa kumchagua Mh Joshua Nassary.Nassary amedhibitishwa kwamba yuko kwa ajili ya kuwatumikia wananchi na hayuko kwa ajili ya kujilimbikizia mali.Hongera sana Mh Nasary nakutakia kila lilo jema katika utumishi wako.
Arumeru wasipoonyesha appreciation adhabu yao iwe ni Lema apelekwe kule miezi sita na Nasari aende Arusha mjini.......
 
Kamanda unasahau kuweka akiba ya maneno.akiwa wa ccm mnasema hajafanya chochote,akiwa mbunge wa manyumbu mnatuambia si kazi ya mbunge kuleta maendeleo
Hujaelewa hoja yangu. Kazi za Mbunge si kuwapa fadhili wapiga kura wake! Ila ni kuisimamia serikali yake itimize majukumu yake kwa wananchi wa eneo husika!
 
Mbunge asiyejiamini katika kazi zake, atajifanya kuwa ni mfadhili badala ya mtetezi, kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali na sio kuifadhili!
 
Lisu, Mbowe, mnyika nilishawasikia kwa miaka kumi wakituonya watz tusichague lowasa kuwa ni fisadi amefilisi nchi na anasitahili kuwa jela.


Kwa hiyo watz tuliompigia kura Magufuli tulifuata ushauri wao.
Hii single haiuzi tena
 
Mwanachadema akishaanza kusifiwa na MACCM, sijui namuonaje!

By the way, sio wewe wala huyo NASSARY wako mnaojua majukumu ya mbunge.

Wabunge aina ya Nassary ndio wanaifanya serikali ya CCM iendelee kuwa goigoi , wanaacha majukumu yao ya kibunge na kujifanya kuwa wafadhili wa wananchi ili wachaguliwe tena na tena, Kazi ya Mbunge ni kuisimamia serikali ifanye kazi zake ipasavyo! na sio vinginenyo!
Kila Mbunge akifanya kazi yake ya msingi ipasavyo serikali itanyooka kama Rula!
Mussa Allan Nasari anafanya anachopenda kufanya lakini hailazimishi wabunge wote wafanye kama Nasari.Kazi za Mbunge ni kusimamia serikali lakini kumbuka wananchi wanaowachagua upinzani wananyimwa maendeleo kama adabu ya kuchagua Upinzani
 
Yaani hii mianachama mipya ya chadema iliyoingia na Lowassa bure kabisa....

Hakuna mtu aliyekuwa anaitukana cdm kama hili li msalani hadi likabadili jina...

Leo hii linajipa moral authority ya kuwalaumu chadema halisi.......jinga sana ww

Kwa kumtukana humsaidii.Muelimishe Ndiyo njia sahihi.
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
Naona ulitamani avae zile nguo za Mashetani wa Kijani.Pole sana
 
Kwa kweli huyu Mbunge wa Arumeru sijui alifikaje chadema kwa maana hafiti kabisa, huyu dogo ana moyo sana wa kujitolea na nimemuona akishiriki moja kwa moja kwenye mambo ya kusadia jamii yake na kamwe sijawahi kumsikia akijihusisha na majungu kama Tundu Lisu au Lema!

Leo hii yuko Uchina akijituma kujaribu kuangalia jinsi gani anaweza kutoa mchango wake ktk kupunguza matatizo yanayomkabili MtanZania hii ni kinyume kabisa na dhana ya Viongozi wakuu wa chadema kama Lisu, Lema fisadi Lowasa ambao siku zote wanapiga makelele majukwaaani na kwenye vyombo vya habari lkn sijawahi kuona msaada wao kwa wananchi hata siku moja, mwenye ushahidi wa siku Tundu Lisu alisaidia watanzania wenye mahitaji auweke hapa!




Hapo chini akifanya mazungumzo na wenye Kampuni ili kwa kutumia mkopo wake wa Ubunge kununua Vitanda kwa ajili ya WatanZani wenye mahitaji


20160113031252%2B%25281%2529.jpg



20160113024845.jpg



Kila La Heri Mbunge Joshua Nasari!
Unaweza kutuambia ndani ya CCM yenye wabunge zaidi ya 200 ni mbunge gani anayejitolea kwa wananchi kwa sasa? Ni mbunge mmoja tu aliyekuwa akifanya hivyo hayati Furikunjombe na hakuna tena yote yaliyobakia ni majizi tu.
 
CCM ukifanya bidii sana na ukaonekana vema na wananchi wakakukubali unapata ajali ya helkopta fasta. Nafikiri chama ina mkosi
 
Mussa Allan Nasari anafanya anachopenda kufanya lakini hailazimishi wabunge wote wafanye kama Nasari.Kazi za Mbunge ni kusimamia serikali lakini kumbuka wananchi wanaowachagua upinzani wananyimwa maendeleo kama adabu ya kuchagua Upinzani
Mkuu, Labda hujanielewa, Ninachopinga ni kitendo cha wabunge baadhi, kujifanya wafadhili wa wananchi, badala ya watetezi wa wanananchi.
Mbunge legelege, mwenye udhaifu, lazima atajifanya kuwa "materialistic" ili kuwarubuni wananchi! Ila Mbunge anayejiamini hahitaji kuwarubuni wananchi kwa vitu, Ila wataona wenyewe jinsi anavyopambana!
 
Mkuu, Labda hujanielewa, Ninachopinga ni kitendo cha wabunge baadhi, kujifanya wafadhili wa wananchi, badala ya watetezi wa wanananchi.
Mbunge legelege, mwenye udhaifu, lazima atajifanya kuwa "materialistic" ili kuwarubuni wananchi! Ila Mbunge anayejiamini hahitaji kuwarubuni wananchi kwa vitu, Ila wataona wenyewe jinsi anavyopambana!
Dah yana wanataka kumfanya dogo janja awe mrithi wa shibuda CDM?
 
Wengine wanaamua kufanya wanavopenda kwa sababu walipotafuta misaada na kuiwakilisha seikalini, walikimbiwa na viongozi waliotakiwa kuipokea misaada hiyo ksma ilivotokea kwa bikra mario.
 
Kamanda unasahau kuweka akiba ya maneno.akiwa wa ccm mnasema hajafanya chochote,akiwa mbunge wa manyumbu mnatuambia si kazi ya mbunge kuleta maendeleo
Basi tufanye Nasary ni mbunge wa ccm
 
Mleta mada jaribu kuwa ukweli,CCM ina wabunge zaidi ya 280,nitajie mbunge hata mmoja wa CCM aliyefanya anayoyafanya Mh.Nasari.

Jimbo la Tundu Lisu ni miongoni mwa majimbo wachache yaliyotekeleza kwa vitendo agizo la kujenga maabara katika shule za Sekondari.Mh.Lisu alilisimamia hilo na likatekelezwa bila ya kukusanya hata senti tano toka kwa wananchi.

Yapo mengi yafanywayo na wabunge wa upinzani ambayo hayawezi kufanywa na wabunge wa CCM,jambo la msingi ni wabunge wa CCM wajifunze toka kwa wenzao wa upinzani badala ya kuishia kupiga kelele za ndiyoooooo mjengoni.
Umesema ukweli mtupu,ebu kula bonge la LIKE
 
Back
Top Bottom