Baada ya Maandamano Tundu Antipas Lissu amekuwa kimya sana, kulikoni?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,992
142,008
Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.

Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.

Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.

Jumaa Mubarak 😄
 
Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.

Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.

Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.

Jumaa Mubarak 😄
petty nonsenses
 
Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.

Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.

Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.

Jumaa Mubarak 😄
Lissu anataka kiti!
 
Back
Top Bottom