johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Mambo mbalimbali yameendelea baada ya Maandamano ikiwemo mgao wa Umeme kufikia kikomo na Sukari kupatikana bila matatizo.
Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.
Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.
Jumaa Mubarak 😄
Tulitegemea Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu atoke kuishukuru Serikali.
Lakini tunawaona Akina Sugu, Heche, Lema, Mbowe walau wakiisifia Serikali kwa namna Moja au nyingine Lakini Lisu amekuwa kimya sana.
Jumaa Mubarak 😄