saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
Majukumu mazito jimboni? Inaelekea wewe sio mfuatiliaji wa mambo! Nassari jimboni kwake anatafutwa haonekani! Hujasoma thread ya malalamiko dhidi yake hapa JF?
Dogo sio mzalendo.
Si ndo kawaida yenu mmezoea kutumwa na Lumumba kuja kuleta uzushi wenu kuhusu wabunge wa CHADEMA, mbona hao wabunge wenu wanaishi oysterbay na masaki badala ya kuwa kwenye majimbo yao? Umemsikia Nyambari Nyangwine? mbona amekimbia JKT? si afadhali ya Nasari hakwenda kabisa kuliko huyu aliyelipiwa nauli kwa kodi zetu halafu akakimbia mafunzo.