Mbunge Nasari Anajuta...

Mbunge Nasari Anajuta...

Kwani yeye ana tofauti gani na hao waliokwenda?? Yeye alikuwa na majukumu mazito jimboni ndo maana akaahirisha na sio kwamba alikimbia vitisho. Kwani kule kuna vitisho gani zaidi ya hivi anavyokumbana navyo kwa hawa policcm wenu?

Bora kutokwenda. Viongozi wote wezi wa ccm wamepitia jeikeiti na hisi kule walifundishwa kuiba ndo maaana dogo kakosa mantiki ya kumpeleka kule.
 
Mkuu, huu ni mwanzo wa kozi za JKT kwa viongozi.

Ninaamini kadri siku zinavyoenda kozi itazidi kuboreshwa kutokana na uzoefu unaopatikana.

Kumbuka hawa ni wawakilishi wa majimbo ambao wanatakiwa kuwepo kwa wananchi wao, kwahiyo kuwaandalia kozi ya muda mrefu ni vigumu.

Watu wenye uzoefu inapaswa muichukulie hii kama changamoto na kuandika makala za kushauri jinsi ya kuiboresha kozi.

Yule mbunge aliyekumbia kozi kwa kusikiliza habari za kijiweni sio mzalendo. Kwanza inatia aibu kuona mbunge haliamini jeshi la nchi yake.
ZeMarcopolo,

..hivi katika maisha yako umepitia JKT au mgambo??

..JKT siyo chombo kipya, hili jeshi lipo miaka zaidi ya 30, kwa hiyo naomba uachane na visingizio vya kutokuwa na uzoefu.

..yeyote yule aliyepitia mafunzo ya JKT, na kuyazingatia, atakubaliana na mimi kwamba askari hawezi kufanya pass out parade akiwa MCHAFU-MCHAFU kama wale wabunge walivyokuwa wakionekana. Just from their appearance wanaonekana kwamba hawana nidhamu ya kijeshi, na hawakufuzu mafunzo yao.

..Kwa mtizamo wangu kama product ya mafunzo ya JKT ndiyo hiyo tuliyoiona, then wale walioamua kutohudhuria, kwa sababu zozote zile, hawana makosa yoyote.

NB:

..enzi zetu guard ya JKT ktk magwaride ya kitaifa ilikuwa ni inajumuisha vijana waliojiunga kwa mujibu wa sheria.

..makamanda wakuu wa JKT na JWTZ walikuwa na tabia ya kutembelea makambi kuona jinsi askari wanavyonolewa ktk mafunzo ya gwaride.

cc: Ogah, gobore, Moshe Dayan, Nyenyere
 
Last edited by a moderator:
ZeMarcopolo,

..hivi katika maisha yako umepitia JKT au mgambo??

..JKT siyo chombo kipya, hili jeshi lipo miaka zaidi ya 30, kwa hiyo naomba uachane na visingizio vya kutokuwa na uzoefu.

..yeyote yule aliyepitia mafunzo ya JKT, na kuyazingatia, atakubaliana na mimi kwamba askari hawezi kufanya pass out parade akiwa MCHAFU-MCHAFU kama wale wabunge walivyokuwa wakionekana. Just from their appearance wanaonekana kwamba hawana nidhamu ya kijeshi, na hawakufuzu mafunzo yao.

..Kwa mtizamo wangu kama product ya mafunzo ya JKT ndiyo hiyo tuliyoiona, then wale walioamua kutohudhuria, kwa sababu zozote zile, hawana makosa yoyote.

NB:

..enzi zetu guard ya JKT ktk magwaride ya kitaifa ilikuwa ni inajumuisha vijana waliojiunga kwa mujibu wa sheria.

..makamanda wakuu wa JKT na JWTZ walikuwa na tabia ya kutembelea makambi kuona jinsi askari wanavyonolewa ktk mafunzo ya gwaride.

cc: Ogah, gobore, Moshe Dayan, Nyenyere

Kiongozi JokaKuu JKT sio mpya lakini crash course ya viongozi ni mpya. Hii ni sawa na chuo kinapoanza kutoa kozi mpya, huenda wakawa si wazoefu katika kozi hiyo, lakini siku yinavyoenda wanaiboresha.

Kwavile muda ulikuwa limited ni lazima mafunzo yatakuwa yamechagua ipengele muhimu na vingene kugusiwa juu juu. Hakuna anayeweza kudiriki kusema kuwa mafunzo waliyopata yanafanana na ya wale wanaokaa mwaka mzima au miezi sita, lakini tutakuwa si wakweli iwapo tutasema mbunge aliyeogopa mafunzo ya JKT ni mkakamavu sawa na hawa waliohudhuria.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kanuni za kijeshi,jee ukihudhuria mafunzo ya wiki tatu unapewa Force number?
 
Marcopolo..nimeshakwambia uache kujadili watu ujadili mambo ya msingi ya kitaifa,majungu hadi lini na nazani siasa huijui na inabidi uhamie jukwaa jingine si huku.punguza ujinga kaka utadokolewa tigo.
 
Acha uongo wewe.
We ni walewale wavaa nguo za KIJANI WAKIWA NA AKILI ZAO NUSU TIMAMU.
 
Hongera mswahili, "WAMEFUDHU MAFUNDHO" ukakamavu wiki tatu?! Geresha tupu!... ULIZA WALIOPITIA JKT kitambi lazima kipukutike!... Hao wanaenda na vitambi na kurudi navyo!... UKAKAMAVU GANI HUO?!

isitoshe huyu kalipuka zake huko akiwa na lake kaliweka hapa bila kufikiri wiki tatu haina tofauti na yeye aliyekuwepo mtaani
 
Mkuu, ni kichekesho kuwaita service man na girl kabla hwajapasi ukuruta!
Huo ukuruta wenyewe hawakuuanza wala kuumaliza! Labda ukiniambia kuwa ilikuwa ni mafunzo ya JKT ya kisanii na kisiasa, hapo nitaamini.

Waulize vijana wetu ma-voluntia wanaokwenda siku hizi huko JKT. Wanafunzwa nini na kwa muda gani, kisha linganisha na huo usanii.

Kwa stahili hiyo unadhani wale watakaotakiwa kwenda (kutoka shuleni na vyuoni) kwa mujibu wa sheria mtawaambia nini kama wah. wabunge wamefuzu kwa muda mfupi hivyo?

ninavyoamini kila category inashiriki kwa dose yake, hata ukipima muda waliyotumia/watakaotumia wakiwa huko kambini/mafunzoni: wabunge (wiki 3), kwa mujibu wa sheria (miezi3) kujitolea (mwaka). iIa ninaamini wote wamepitia JKT na wamehitimu kwa doze stahili...tena wao ni zaidi raia wengine ambao hawajatia mguu huko
 
Majukumu mazito
jimboni? Inaelekea wewe sio mfuatiliaji wa mambo! Nassari jimboni kwake
anatafutwa haonekani! Hujasoma thread ya malalamiko dhidi yake hapa JF?

Dogo sio mzalendo.

Acha uongo mkuu! Nassari tuko naye sana hapa jimboni arumeru...! Labda mnamtafuta huko kwenu
 
Mbona hujamsema huyo aliekwenda alipoona maji marefu,kaomba kwenda hosptl kapotea mazma?
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifuzu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefuzu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa waliopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...

Kuna kitu gani ambacho Nasari angeweza kukipata katika mafunzo haya tu, na si kwingine.

Something substantive please, not political PR na kuuza sura.

I mean I have never been a biig Nasari fan, and probably never will be, but on the real, haya mafunzo zaidi ya kuwa a big hoopla yana kipi cha ajabu?
 
Kuna kitu gani ambacho Nasari angeweza kukipata katika mafunzo haya tu, na si kwingine.

Something substantive please, not political PR na kuuza sura.

I mean I have never been a biig Nasari fan, and probably never will be, but on the real, haya mafunzo zaidi ya kuwa a big hoopla yana kipi cha ajabu?

Unakumbuka kauli ya Nassari kuwa anataka kanda ya Kaskazini ijitenge na ile kauli yake kuwa atamzuia Rais asikanyage Arusha?

Hizi kauli zinaonyesha wazi kabisa kuwa dogo anahitaji mafunzo haya kuliko mbunge yeyote. Haelewi maana ya Amiri Jeshi Mkuu ni nini na hana heshima kwa walinzi wa mipaka ya nchi. Alipaswa kuingia JKT wiki tatu ili ajifunze kuheshimu mtu anayeitwa Amiri Jeshi na kujifunza umuhimu wa kuheshimu wanaolinda mipaka ya nchi.

Kiujumla dogo hata kiapo alichokula pale Bungeni hajakielewa.
 
hivi umewahi kusikia wapi mafunzo ya jeshi ya wiki tatu isipokuwa TZ tuu . sema hiyo ilkuwa ni semina ya wiki tatu. Kusema kwamba hao wabunge wameenda jeshini ni dharau kwa tasnia ya jeshi moja kwa moja. Hata kama walikuwa wanasoma masaa 24 haiwezekani hapo wameenda kupata harufu ya jeshini tuu. chezea jkt wewe.
 
Unakumbuka kauli ya Nassari kuwa anataka kanda ya Kaskazini ijitenge na ile kauli yake kuwa atamzuia Rais asikanyage Arusha?

Hizi kauli zinaonyesha wazi kabisa kuwa dogo anahitaji mafunzo haya kuliko mbunge yeyote. Haelewi maana ya Amiri Jeshi Mkuu ni nini na hana heshima kwa walinzi wa mipaka ya nchi. Alipaswa kuingia JKT wiki tatu ili ajifunze kuheshimu mtu anayeitwa Amiri Jeshi na kujifunza umuhimu wa kuheshimu wanaolinda mipaka ya nchi.

Kiujumla dogo hata kiapo alichokula pale Bungeni hajakielewa.

Niliomba kitu ambacho Nasari angeweza kukipata katika mafunzo haya tu. Na si kwingineko.

Kwa bahati mbaya hujanionyesha ni kwa vipi haya uliyoyasema yanapatikana katika mafunzo haya tu.

Mimi sijapitia JKT, lakini naweza kuelewa umuhimu wa Amiri Jeshi Mkuu kama nimeona nyaraka zote alizoletewa Seif Bakari, na heshima kwake inatakiwaje, halafu nika flip coin na kuponda umuhimu wa Amiri Jeshi Mkuu na haja ya kuwa na jeshi kama JKT kabisa like a Richard Rhodes disciple with Eisenhowerian tendencies on the emerging military-industrial complex.

Nasari is an airhead. Only another airhead would dispute that. Let's get that clear so nobody confuses my point.

Sitting out JKT is one of the best things he has done so far.

It is a waste. Of time, effort and resources.

Especially for an MP.

Umesikia upuuzi unaoripotiwa kuendelea huko? Watu wanamsujudu Mwigulu kama Hollywood star.

Idiocracy of sea urchins and sand dollars!

I am surprised whatshisname - Kibonde- from Clouds did not volunteer.

You are ruining my pensive mood now Mkuu.
 
Niliomba kitu ambacho Nasari angeweza kukipata katika mafunzo haya tu. Na si kwingineko.

Kwa bahati mbaya hujanionyesha ni kwa vipi haya uliyoyasema yanapatikana katika mafunzo haya tu.

Mimi sijapitia JKT, lakini naweza kuelewa umuhimu wa Amiri Jeshi Mkuu kama nimeona nyaraka zote alizoletewa Seif Bakari, na heshima kwake inatakiwaje, halafu nika flip coin na kuponda umuhimu wa Amiri Jeshi Mkuu na haja ya kuwa na jeshi kama JKT kabisa like a Richard Rhodes disciple with Eisenhowerian tendencies on the emerging military-industrial complex.

Nasari is an airhead. Only another airhead would dispute that. Let's get that clear so nobody confuses my point.

Sitting out JKT is one of the best things he has done so far.

It is a waste. Of time, effort and resources.

Especially for an MP.

Hakuna sehemu nyingine dogo anaweza kujifunza umuhimu wa Amiri jeshi Mkuu. Kiapo cha Bunge na vikao vya Bunge vimeshindwa kumuwezesha kuelewa hilo. Vikao vya chama chake ndio kwanza vinazidi kumharibu. Vijiwe vyake vya wana apollo vya kusaka euphoria haviwezi kumfundisha hilo.

Kiujumla dogo alikuwa na opportunity kwa mara ya kwanza kujifunza maana ya STATE. Kwa bahati mbaya vijiwe vya wana apollo vikamdanganya kuwa atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali!
 
Unakumbuka kauli ya Nassari kuwa anataka kanda ya Kaskazini ijitenge na ile kauli yake kuwa atamzuia Rais asikanyage Arusha?

Hizi kauli zinaonyesha wazi kabisa kuwa dogo anahitaji mafunzo haya kuliko mbunge yeyote. Haelewi maana ya Amiri Jeshi Mkuu ni nini na hana heshima kwa walinzi wa mipaka ya nchi. Alipaswa kuingia JKT wiki tatu ili ajifunze kuheshimu mtu anayeitwa Amiri Jeshi na kujifunza umuhimu wa kuheshimu wanaolinda mipaka ya nchi.

Kiujumla dogo hata kiapo alichokula pale Bungeni hajakielewa.

Aseee......kwahiyo JKT ndo wanafundishwa viapo na umuhimu wa Amiri Jeshi, na kwamba hakuna sehemu nyingine ambapo anaweza kujifunza wala kufahamu mambo hayo isipokuwa JKT ya wiki 3?
 
Back
Top Bottom