Mbunge Nasari Anajuta...

Mbunge Nasari Anajuta...

Majukumu mazito jimboni? Inaelekea wewe sio mfuatiliaji wa mambo! Nassari jimboni kwake anatafutwa haonekani! Hujasoma thread ya malalamiko dhidi yake hapa JF?

Dogo sio mzalendo.

Kama kwenda JKT ndiyo uzalendo, Tanzania isinge fikishwa hapa tulipo. Wanao ongoza kwa UFISADI karinbu wote walikwenda JKT, Uzalendo wao uko wapi??

Mmesha kula vya watu hata vya kuandika hamvioni!!! Kwako kufuzu JKT kwa mbwembwe ndio UJIKO??!!! Mbona sisi tulimaliza bila bwebwe na bado tuna hesabika kwamba tuli hudhuria mafunzo ya JKT. Tena ya mwaka mmoja na siku za kulipia juu.

Pesa za lumumba zitakutokea masaburini!!!!
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifudhu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefudhu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa walioopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...

Nini maana ya kufudhu? hili neno lina maana sawa na kufuzu? Kwa hiyo dhima (objective) nzima ya kwenda JKT ni kutafuta heshima na si vinginevyo? Nasari kutokwenda JKT amepungukiwa nini katika utumishi wake wa ubunge? Kuwa mbunge (mtumishi wa jamii) ni heshima tosha, kwenda JKT ni kutafuta sifa si heshima!
 
Afadhali wiki tatu kuliko wiki sifuri.

Dogo aliingia mitini jimboni, watu wakadhani yuko JKT. Sasa picha za wote waliofudhu zimewekwa hadahrani kwa hiyo hawezi tena kuwadanganya wadau kuwa alikuwa JKT.

Acha umbea wa kike, kwani wewe ni dume jike? Alidanganya wapi kuwa kaenda JKT? Mbona aliwaambia waliomchagua kuwa hawezi kwenda JKT kwa sababu za majukumu ya jimboni na hata akajitokeza JF kuthibitisha kuwa hatokwenda JKT. Au unatafuta mume?
 
:rockon:kukwepa ni kukwepa, ameogopa mtiti wa wanaume
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifudhu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefudhu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa walioopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...

Mkuu, ninaimani kuwa katika maisha yako hujawahi kukanyaga smati eriya yoyote ya kambi yoyote ya JKT, vinginevyo usingethubutu kusema eti, waheshimiwa wamefuzu mafunzo ya JKT.

Wamepiga kwata 34 hao? Wanajua kushika, kuisambaratisha, kuisafisha na kuirudishia bunduki hao? Wamekwenda renji hao? Wamewahi kwenda gadi katika stratejik eriyaz au saits na rifle iso risasi, risasi anakuwanazo gadi kamanda?

Mkuu, ninawaheshimu wahe. hao na ninawapongeza kwa walilolifanya, lakini naamini wamemaliza orientation tu na siyo kufuzu.
 
Kama kwenda JKT ndiyo uzalendo, Tanzania isinge fikishwa hapa tulipo. Wanao ongoza kwa UFISADI karinbu wote walikwenda JKT, Uzalendo wao uko wapi??

Mbona wanaoongoza kwa ufisadi wako Bungeni lakini amekubali kujiunga na Bunge? Au kwasababu Bungeni kuna posho nono ambazo JKT hazipo?
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifudhu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefudhu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa walioopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...


The youtong...dogo... biologist
na wewe umekuwa mstari wa nyuma kupiga mboyoyo LUMUMBA???

....ACHA KUAIBISHA FANI....

cc MUHIMBILI
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifudhu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefudhu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa walioopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...
Mwigulu, uandishi wako na jinsi unavyo ongea vinashabiana kabisa.
 
Acha umbea wa kike, kwani wewe ni dume jike? Alidanganya wapi kuwa kaenda JKT? Mbona aliwaambia waliomchagua kuwa hawezi kwenda JKT kwa sababu za majukumu ya jimboni na hata akajitokeza JF kuthibitisha kuwa hatokwenda JKT. Au unatafuta mume?

Jimboni hajaonekana kwa muda wa wiki tatu. Vijana wa jimboni walidhani yuko JKT na wabunge wenzake.
 
:rockon:kukwepa ni kukwepa, ameogopa mtiti wa wanaume
 
Imeelezwa kuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameanza kujutia uamuzi wake wa kukacha mafunzo ya JKT.

Hali hiyo imejitokeza jioni ya leo baada ya Joshua kushuhudia wenzake wakifudhu mafunzo hayo kwa heshima kubwa ya kitaifa.

Kukacha kwa Joshua kulielezwa kutokana na kupewa "vitisho" kuwa angeweza kupigwa na kitu kizito chenye nchi kali katika mafunzo hayo, jambo ambalo limedhihirika kuwa si la kweli kwani wabunge wote waliohudhuria mafunzo hayo wamefudhu bila kudhuriwa. Wabunge hao sasa hivi ni wakakamavu zaidi kuliko walivyokuwa awali tofauti na Nassari ambaye anaendelea kuwa legelege.

Hii inatakiwa kuwa funzo kwa Nassari na vijana wengine kutokusikiliza maneno ya vijiweni yasiyo na uhakika. Iwapo Nassari angeacha kuamini maneno ya vijiweni angeweza kujivunia fursa ya kuwa miongoni mwa viongozi wa Taifa walioopata mafunzo maalum ya kijeshi. Woga wake "wa kijinga" umemkosesha fursa hii...

Mkuu ZeMarcopolo , vp lini umekuwa msemaji wa Nasari???
Mkuu umeamua ku compete na Halima nini???
 
Mwigulu hata angekaa kambini mwaka mzima hauwezi ukakamavu wa Joshua. Hukumwona siku ile anachezea timu ya soka ya Bunge? Nassari alionyesha kuwa ni mtu wa mazoezi mwanzo mwisho.
By the way, hivi wiki tatu ndio mafunzo ya kijeshi? Hata wale chipukizi wa CCM wanajifunza muda mrefu zaidi
Ni kweli siku ile Nasari ndo aliwabeba wabunge washabiki wa Simba
 
Acha umbea wa kike, kwani wewe ni dume jike? Alidanganya wapi kuwa kaenda JKT? Mbona aliwaambia waliomchagua kuwa hawezi kwenda JKT kwa sababu za majukumu ya jimboni na hata akajitokeza JF kuthibitisha kuwa hatokwenda JKT. Au unatafuta mume?


Mkuu ya nini kupigizana kelele na shemeji yetu ZeMarcopolo aliyeamua kuchukua ile Nafasi Mdee alitaka kuchukua kwa Nassari
 
Last edited by a moderator:
Afadhali wiki tatu kuliko wiki sifuri.

Dogo aliingia mitini jimboni, watu wakadhani yuko JKT. Sasa picha za wote waliofudhu zimewekwa hadahrani kwa hiyo hawezi tena kuwadanganya wadau kuwa alikuwa JKT.

Nitafurahi nikiona picha ya Lusinde - Kibabaji, alivyokuwa akihitimu
 
Back
Top Bottom