Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,032
- 974
"Serikali inafanya kazi nzuri na kubwa kujenga miundombinu ya Elimu na kuhakikisha Elimu inafika nchini kote lakini kumekuwa na changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu hali inayopelekea Wanafunzi kupanga vyumba mtaani na Kuhatarisha Usalama wao.
Je, Serikali haioni umuhimu wa kuleta Sera ya ulazima kuhakikisha kwamba inajenga mabweni katika kila Shule ya Sekondari ili kuwasaidia wanafunzi hawa hususani watoto wa kike ambao wamekuwa wakipata changamoto kubwa njiani".
Je, Serikali haioni umuhimu wa kuleta Sera ya ulazima kuhakikisha kwamba inajenga mabweni katika kila Shule ya Sekondari ili kuwasaidia wanafunzi hawa hususani watoto wa kike ambao wamekuwa wakipata changamoto kubwa njiani".