pole sana dada,tibiwa muhimbili usiende nje ya nchi.
Mwanamtandao hawezitibiwa Muhimbili, amepata sababu ya kwenda nje kama alivyopelekwa mbunge wa Kyela nae alipopatata ajali!! wanakwenda nje hata kufunga vidonda ili mradi ni wabunge ;kweli wanazifaidi hela za wadanganyika!