Mbunge Lema Anena ya Moyoni

Mbunge Lema Anena ya Moyoni

Huyo Hamy D (mwigulu) ni mwongo tu hata mahakama ilithibitisha kama Lema ni innocent kwenye ubunge wake na hapa tena inathibitisha bado huyu savimbi anataka kuwarubuni wanaArusha, yeye abaki na wanyiramba wenzie japo nao wameshamshitukia kuwa sio mtu mzuri,kumbuka mahakama haikaliwi na vihiyo na kama ni kihiyo utaona judgement zake za kijinga na Learned person kama akina Lissu watamsumbua kwa hoja(counts)
 
Lema anatia aibu wana Arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.

" ukiona mwanaume anauza utu wake kwa ajili ya fedha au cheo tambua kuwa mwanaume huyo anaweza kuwa hata shoga au kumuuza mke wake kama njaa ikizidi " Lema Mp
 
Raiya ndio kitu gani mkuu

maskini MaCCM,
kwa iyo wewe hata somo la Uraiya hukusoma au ndo umbumbumbu ulikuanza tangu utotoni???

raiya - citizens

so, nilikua namaanisha raiya mliowaua kwa bomu Soweto Arusha.
Hakika damu mliyomwaga Soweto Arusha itawaandama Maccm kuanzia kizazi cha 1 hadi cha 9.
 
Nakubaliana nawe kuwa maneno ya Lema ni nadra kuyapata kwa viongozi wa siku za leo ambao kuwaza na kufikiri kabla ya kusema ni msamiati mgumu kwao.

Kufutwa kwa kesi hiyo siyo ushindi dhidi ya lema tu bali ni ushindi kwa wapenda haki wote na ni aibu kwa wale wanaotumia madaraka kunyanyasa watu wanaodhaniwa ni wanyonge. Nasema hivyo kwa kuwa kesi yenyewe ilikuwa ya kukomoana na kuonyeshana mabavu tu ya nani ni nani katika jamii.

Jambo moja ninalofurahi na ninaloamini viongozi wanaotumia mabavu hawana nafasi katika kizazi cha digitali kwani sifa moja ya kizazi cha digitali ni uwazi na ukweli na ya pili ni heshima na kuheshimiwa. Wakiendelea kutumia mabavu na kuonyesha ubabe kwa kuwa tu ni wateule wa Rais basi watabaki na Rais na watu watachukua ustaarabu wao wa maisha kama inavyofanyika sasa Arusha. Wajifunze kusoma alama za nyakati.

...100% ni kweli kamanda...
 
Acheni watu waamue wao......Bible says Mbingu ni mali ya MUNGU ila nchi ni mali ya Wanadamu na wanadamu ni wananchi wenyewe....GOD BLESS TANZANIANS



"NCHI NA VYOTE VIIJAZAVYO NI MALI YA BWANA, DUNIA NA WOTE WAKAAO NDANI YAKE" zaburi 24:1.
 
pole sana kwa kubakwa ndg,peleka haraka ushahidi polisi ili sheria ichukue mkondo wake.
Huko CDM ndiko kamchezo ka kubakana kapo, sisi huku CCM huwa hatuna hivyo vimchezo, sasa sijui wewe wamekubaka mara ngapi mpaka umeona kil amtu anabakwa kama wewe, unaweza tu kua na maisha mazuri bila kubakwa karibu CCM
 

maskini MaCCM,
kwa iyo wewe hata somo la Uraiya hukusoma au ndo umbumbumbu ulikuanza tangu utotoni???

raiya - citizens

so, nilikua namaanisha raiya mliowaua kwa bomu Soweto Arusha.
Hakika damu mliyomwaga Soweto Arusha itawaandama Maccm kuanzia kizazi cha 1 hadi cha 9.
wewe itakua ulifeli darasa la nne la zamani
 
Lema anatia aibu wana Arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.

kama mahakama yenu imemsafisha wewe ni nani hata umuone ana makosa? au ndo mshazoea mpo juu ya sheria?
 
CCM na polisi wamekosa shabaha kwa kamanda LEMA! na LEMA nimwiba mchungu kwa magamba wote !
 
Back
Top Bottom