CCM na polisi wamekosa shabaha kwa kamanda LEMA! na LEMA nimwiba mchungu kwa magamba wote !
Ni kweli aisee, mh.lema ni kiboko ya magamba. Sasa watabakoa kumtukana maana magamba matusi ndio silaha yao kubwa.
CCM na polisi wamekosa shabaha kwa kamanda LEMA! na LEMA nimwiba mchungu kwa magamba wote !
Kuna habari hapa kuwa amekuwa mkimya sana siku hizi inakuwaje wewe unasema ameongea sana?Lema anaongea maneno mengi sana ana copy kauli za kina Stiven Biko, hizi kauli wala hazina nafasi kwa sasa.
kama unaona hatufai..sasa piga picha hayo ma------ yako,halafu uyaweke mtandaoni tuona kama yatafaa kupigiwa kuraLema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Kuna habari hapa kuwa amekuwa mkimya sana siku hizi inakuwaje wewe unasema ameongea sana?
heee!!upo..vipi hao wazee wa ....wamekuzawadia cheo gani..??au bado unagangaganga njaa???Unasumbuliwa na tatizo la mnyauko na mpauko wa fikra,
Kabisa na mimba juu, kwa sasa ni shemeji yangu na huwa anakuja home tunamkopesha matumizi
Kauli hii ya nenda kuchukua buku saba, hutolewa na washindwa alieshindwa kutetea hoja ama kujibu. neno hili na matusi hutumika kama silaha ya msaada.wana arusha uwezo wao wa kufikiri upo juu ndiyo maana walimchagua. Pole nenda kachukue bk7 kwa kuingiza siku.
Bado tunamkubali tu'
Lema Is great....MaCCM wanakiri hilo.Hakuna ubishi mnayo kazi sana.Lowasa kahubiri ukabila wapi,kafanya vikao vya ukabila na ukanda wapi..sasa asubiri ukanda ukamtafune Yeye.
Lema Is great....MaCCM wanakiri hilo.Hakuna ubishi mnayo kazi sana.Lowasa kahubiri ukabila wapi,kafanya vikao vya ukabila na ukanda wapi..sasa asubiri ukanda ukamtafune Yeye.