Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Unapost wakati nafsi ikiwa inakusuta.....!
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Huyo myalukolo nahisi aligongewa demu wake sio bure..We ulishawahi sikia wapi kubakwa abakwe mwanamke afu askari polisi mwanaume aliyefukuzwa kazi ndo analalamika daily... hovyo kweli yani..
bado ya ubakaji
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
bado ya ubakaji
hiv A.TOWN watamchagua tena 2015 ???
ungeandika kichaga kabisa maana kingereza hujui
Alikubaka wewe,mbona hukutujuza,shame on you
Ha ha ha ha! "Askari mwizi"!MaCCM mnazidi kuumbuka.
na wewe very soon utafunguliwa kesi ya ile gari uliyoiba ofisini kwenu juzi alafu unajifanya unahamaki mitandaoni.
Bado hujasahau zile 4-0? Arusha ni kwa waelewa humwongopei mtu kwa fulana na kapelo. Uchaguzi ujao hampati hata mjumbe wa nyumba kumi hapa.Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Mkuu, hivi unajua kashinda kesi? Ushindi huu si wa Lema tu bali ni wa wana Arusha wote na watu wote wanaopinga dhulima za CCM kwa kutumia vyombo vya dola. Maana yake ni kuwa Lema ni chaguo letu wana Arusha na hapo hututoi!!Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.