Mbunge Lema Anena ya Moyoni

Mbunge Lema Anena ya Moyoni

...ukweli Lema maneno yake yanaishi,trust me kauli hizi ni za kimapinduzi na ni nadra sana kupatikana na daima zitakumbukwa katika harakati za kuikomboa tanganyika...

Maneno yanayotia moyo na kuamsha hisia kali za kuendeleza mapambano
 
Lema anatia aibu wana Arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.

Ungekuwa mtu wa maana ningekutukana lakini hata hilo hustahili
 
Lema anatia aibu wana Arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.

samahani mkuu naomba utoe hoja, kwa lema ni lipi kosa la wana arusha
 
Lema anatia aibu wana Arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
sijakuelewa
 
Huwa inashauriwa ya kuwa mwendawazimu akichukua nguo zako wakati unaoga usianze kukimbizana naye.....mamlaka zimefanya maamuzi ya busara kuachana naye.
 
...kama walivyoachana na yule wa MBEYA (yule aliyetolewa mjengoni kama kiroba)....alipomkashifu waziri mkubwa...
 
Unasumbuliwa na tatizo la mnyauko na mpauko wa fikra,

Ndio ID yako nyingine..?Vipi hujapata bwana tuu.....?Sasa mtu huna Identity utaweza vipi jua kibaya kwa mwenzio.

Kinachowasumbua nyie ni IDENTITY tuu..you wanna be somebody....somebody you dont know.Unataka fiti ktk society iliyo na watu tofauti kiasi hiki...lazima uliwe bure mjini .
 
Mh.God bless lema ni mwiba mkali mno na mchungu sana kwa magamba.
 
lema anatia aibu wana arusha!!!

Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; huyo lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.

haina tofauti na watanzania wakichagua ccm ,,watakuwa wamefanya kosa kubwa sana dunia na mbinguni,,inchikavu na majini
 
Lema anaongea maneno mengi sana ana copy kauli za kina Stiven Biko, hizi kauli wala hazina nafasi kwa sasa.
 
Kinacho itesa ssm ni ujasiri wa Mh Lema,kwa watu wake na maneno yake yenye kutafuta haki;
 
Lema anaongea maneno mengi sana ana copy kauli za kina Stiven Biko, hizi kauli wala hazina nafasi kwa sasa.
Endelea kuota ndoto za mchana tuu. ....magamba bwana mpaka hayo maneno ya mh.lema pia ni mwiba mchungu sana kwa magamba. .mbona mnaogopa mambo madogo?
 
Back
Top Bottom