Mbunge Lema Anena ya Moyoni

Mbunge Lema Anena ya Moyoni

Aibu tupu!
Mulongo anahitaji maombi maalum, maana nahofia kuna siku ataokota makopo!

Walau wewe unamfikiria kumuombea, ninacho mfikiria mimi nikikitamka tu watu wa TISS wataanza kukesha kufuatilia nyendo zangu fasta
 
"Nimeshinda kesi tena! Kwa kweli Mungu anatupenda sana na tutaendelea kupambana kutafuta haki bila hofu. Miili yetu na nafsi zetu zimepoteza maumivu kwa sababu ya mateso yaliyojaa uongi na hila. Hata hivyo tutaendelea na kelele za kupigania haki bila kurudi nyuma huku uvumilivu ukiwa nguzo yetu kuu"

Haya ni maneno ya Mh Godbless Lema asubuhi ya leo katika viwanja vya Mahakama Kuu Arusha mara baada ya kushinda kesi dhidi ya hila za Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo zikihusisha kilichodaiwa kuwa uchochezi kwa wanafunzi wa Uhasibu Arusha wamzomee Mulongo na kufanya fujo... Kesi hiyo imefutiliwa mbali baada ya washitaki kuomba hivyo pamoja na kwamba leo ndio ilikuwa siku ya kuanza kusikiliza ushahidi wa Mkuu wa Mkoa, Dean of Students, Makamu Mkuu wa Chuo na Maofisa wa Polisi wakiongozwa na OCD Muroto.




599775_529434653807200_2058817291_n.jpg








Wahenga walisema, PENYE UKWELI UONGO HUJITENGA!!

 
Kwa kweli mwaka huu Lema ameonyesha hekima ya hali ya juu. Toka pale alipofanikiwa kujizuia kuandamana na waendesha boda boda nampongeza sana! Keep it up Kamanda.
 
Lema anaongea maneno mengi sana ana copy kauli za kina Stiven Biko, hizi kauli wala hazina nafasi kwa sasa.
kwa mtu kama wewe huwezi ukaona umuhimu wake kwa sasa, maana hata kenge huwa ni mgumu sana wa kusikia mpaka adundwe na masikio yatoke damu hapo ndio hupata kusikia.
MAy take: NI RAHISI SANA KUFUTA VUMBI/UCHAFU LAKINI SIO HISTORIA.!!!!!!
 
Back
Top Bottom