Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mktu umeweza kufuatilia mwanzo wa hili sakata then ndo uamue kuandika haya uliyoandika?

mheshimiwa nimefuatilia na nimeangalia hizo clips zilizowekwa na nnarejea lema anapaswa kushauriwa jinsi ya kuendesha siasa. si kila pahala husemwa lolote, au kusema ili mradi kujitafutia umaarufu au mtaji wa kisiasa.

mwenye akili atakiri kua kweli kuna mapungufu kwa upande wa serikali ktk kutatua hilo suali lkn lema ametumia hio loop hole vibaya. huo ndio ukweli. siasa za kizamani sana za kuchochea wananchi ili iwe mtaji wa siasa
 
huuuuuuu upuuzi sana kazi yote atakayo ifanya kama aliraise profile ya ccm kwa asilimia 20 huyu mkuu wa mkoa ameipeleka negative kabisa kwa mkoa wa arusha ......hivi ndio vitu vinavyowapa sifa chadema bila sababu ......mkuu wa mkoa alishindwa nini kujishusha na kuwapa pole sema tunashughulikia .......haya mambo yalitokea na mtwara pia upuuzi kweli aiseee

Hii yote no matokeo ya kupeana vyeo kiswahiba....huyu mkuu wa mkoa ni mbumbumbu wa kutupwa! Ametengeneza uhasama kwenye kitu kilichohitaji a minute common sense! Kulikuwa na haja ya yote haya? Km ameshindwa ku-control wanachuo tu sidhani hata family yake anaiweza.....seuze mkoa! (Mind u this come from a pro CCM)
 
Amekamatwa kwa hila za uchochezi wa wanafunzi, In-sighting, Interference of Police work, trying to distort the investigation of the killed student. Lema is just a super pain for Arusha and CDM. Hindering the RC to do his work and kuwachocheza wanafunzi kumfukuza RC . My take is that huyu Bwana Lema ni msiba mkubwa kwa hiki chama cha upinzani na maendeleo, Tunawaomba viongozi wa CDM to take control of this loose canon called lema and ensure that he doesn't destroy this wonderful opposition.

NDo umeamka nini? Hukujua cha kuandika. Kwa akili za kimasaburi na uongeaji wa kiserukamba unafikiri unajua lolote! Unawweza wa akili zako timamu ukasimama mbele ya wanaume wenzako ukasema UNAONA UMBO LANGU! Kwani Magesa ni nani? Kama ni nyama hata kwenye sambusa zipo!
Haiwezi kukuingia akilini eti Lema alienda kuchochea mgogoro halafu amwite Magesa! Lema alimwambia Magesa sema hivi! Akiwa kama mkuu wa mkoa hajui wajibu wake? Alikuwa wapi mpaka apigiwe simu na Lema? Wenyekiti wa ulinzi na usalama wa mko hajui wajibu wake! Shem on you the so called mkuu wa mkoa! Akubali akatae Arusha kaishindwa!
 
Muda huu wakazi wa Arusha wamekusanyika nje ya kituo cha polisi.Wamezuiliwa kuingia na wanazidi kuongezeka.

Kamanda Lema ataanza kuhojiwa muda sio Mrefu

Mkuu mimi sheria imenipitia pembeni kidogo,hivi kuna possibility ya dhamana kwa siku ya leo,au ni hila zao wamkamate leo na akae ndani mpaka jumatatu wampe kesi na kumpeleka mahakamani?
 
mengi , Naamini CCM na watendaji wake serikalini, Wakuu wa mikoa ambao muda si mrefu hatutawataka wawepo maana umuhimu wao haupo. Hiki cheo hakina Job descriptions tofauti na ile ya kuwinda wapinzani na kuua democrasia ktk nchi yetu. Ni lazima Cheo hiki kifutwe maana ni cheo kilicho na malengo ya kisiasa cha kupeleka taarifa zenye kufitinisha ikulu. The new constitution should stipulate clearly the kinds of appointee by the presida. Kamwe hatutaijenga nchi kwa kutumia vyombo vya usalama, watawala wetu wasipobadirika kuna siku nchi hii moto utawaka na vyombo hivyo vya dola hakika havitaweza kuuzima. Ngoja tuone mwisho wa uongozi huu wa kutumia mabavu. "Kwani huyu mama wa CCM ilikuwa ni lazima ashinde ubunge ndo arusha itulie???, je huyu mama mbona anawatesa watu wa Arusha na watanzania kwa ujumla" Tatizo naona ni yule mama kipenzi cha watawala wa leo kukosekana bungeni wakti kiti chake kilikuwa kimeandaliwa tayari. CCM na Serikali yako waache watu wapumue, msiwatese hiyo, na wakichoka mtajuta....



Kuna uwezekana mkubwa sana wa Lema kukatishwa uhai wake. Kwa kauli ya jna nanukuu ya sma he received from Mkuu wa mkoa.
What is the issue here. Raisi haoni haya? Ama kweli Tz tuna Rais. Na sijui kabisa what the man is doing there at Magogoni??? Mimi nasema ungonjwa mbaya zaidi duniani Ni kulewa Madaraka, dalili za ugonjwa huu ni kusahau kabisa kama huwa unakoma.
Heri yao hao wanaojiita wako juu ya Sheria kwa maana hawajui Sheria iko juu yao na ipo siku itawageuza ama wao or kizazi chao
 
Nawakumbusha watawala kuwa wenzao waliolewa madaraka walianza hivi hivi na matokeo yake wanayajutia hadi leo. Kawaulizeni kina Gadafi (huko waliko) na wanaosotea mahakamani kama kina Mubarak watawaeleza vizuri. RC wa Arusha taratibu kaka, yakikugeuka hayo matendo yako maovu utaiambia milima ikuangukie nayo milima itakukimbia.
 
Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi onevu wa Polisi wakati huu wa usiku; Mh. Lema amekubali kukamatwa na amechukuliwa na gari la polisi wakati huu na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.
Earlier by Emanzi:
Polisi kazi yao siyo uvamizi.. Polisi hawakuwa na jinsi. Bila shaka walikuwa wanasaka ushahidi juu ya 'udini' wa Rais kabla haujafika popote. Si rahisi kumtuhumu Rais na kubaki salama.. Alitakiwa ategemee kuwindwa.Kosa lake lilikuwa kuwapa 'leverage' ya kumpata.Na 'leverage' yenyewe ni mgomo wa IAA.
 
Nina uhakika polisi watafanya kazi Yao vilivyo bila kuogopa kelele za brainwashed people ambao wanafuata mkumbo bila kujitambua
 
Ritz huna hadhi yakuwa mwana Jf unawauwa nduguzetu kwa kuwauzia madawa yakulevya...Allah atakuhadhibu vikali.
 
salaam wanajf.
nijuavyo mimi nikwamba ili mbunge akamatwe na police katika mda ambao vikao vyabunge vinaendelea,ni lazima police wapate kibali cha spika.sasa je hawa police waliozingira nyumba ya mhe.lema usiku wamanane,na hatimae kumkamata,walifuata matakwa ya sheria hii?kama hawakuzingatia haya,wanatushawishi vipi tusiamini kuw lema amefanyiwa hivi kwakuwa ni mbunge waupinzani,nakwamba mkakati huu nimahususi kupunguza nguvu ya vdm bungeni,hasa mdahuu wa kupitisha bajeti?karibuni tujadiri.
 
Tatizo la wachangia mada hapa hawajui stori nzma ndo maana wanahara tu huku.am proud kuwa wa arusha bt sad kuzaliwa tz. Mtu alyezuia wanafunz wasiandamane kwenda kwa mkuu wa mkoa ndo alochochea vurugu.kwelii?poor thkng.jpangen upya mnakera na ujinga wenu. Hatutak mashindano arusha ni ya lema tu,gve hm peace and space plz.achen kujichosha kumchafua mtu kwa nguvu.
 
Walivyokamatwa wakina Mramba na Mgonja mijitu ilikuwa inafurahi, leo hii amekamatwa huyu mchochezi na muatarisha amani mnasikitika? heti ooh sipendi kumuona mtanzania akionewa, kwani hao wengine wakimbizi? kauli za Lema ni za kiuvunjifu amani, serikali ilipaswa iwachukulie hatua makamanda wote hapa nchini.
 
vgum sana kuwmelewesha mpumbavu kwa asilo lijua magamba wameishiwa mbinu twendemm nao tu ni ndugu zetu atuna pa kuwatupa ila wtaelewa
 
"brainwashed people ambao wanafuata mkumbo bila kujitambua" moja wapo ni wewe,pili pili si yako yakuwashia nini kama si umbea tu
 
Hii ndio tanzania yetu lets fight for the right thing ila tusifuate mkumbo coz kuitafuta haki in the wrong way is also wrong
 
kwa kweli walio karibu na lema wanatakiwa wamuweke kitako na kumshauri kuhusu mwendo anaenda nao. siasa sio ugomvi na kutengeneza matatizo kila siku

kuna njia nyingi za kupita kufanya siasa. hii njia aliochagua inashangaza sana tena sana. mbona kuna wabunge wengi wa chadema na vyama vyengine hawabehave kama yy? hata wenziwe mwisho watamchoka

Acha kupotosha umma we punguani mnywa mnazi. Na kama hujui kinachoendelea bora ufunge domo lako kuliko kujaza utumbo wako humu.
 
Back
Top Bottom