Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Mktu umeweza kufuatilia mwanzo wa hili sakata then ndo uamue kuandika haya uliyoandika?
mheshimiwa nimefuatilia na nimeangalia hizo clips zilizowekwa na nnarejea lema anapaswa kushauriwa jinsi ya kuendesha siasa. si kila pahala husemwa lolote, au kusema ili mradi kujitafutia umaarufu au mtaji wa kisiasa.
mwenye akili atakiri kua kweli kuna mapungufu kwa upande wa serikali ktk kutatua hilo suali lkn lema ametumia hio loop hole vibaya. huo ndio ukweli. siasa za kizamani sana za kuchochea wananchi ili iwe mtaji wa siasa