Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

Tupo Polisi,kuna ulinzi mkali sana,na hawaruhusu watu kuingia hapa kituo kikuu cha polisi,Jana usiku ilishindikana kufanya mahojiano,hivyo yataanza muda huu
 
Lema njia anyoitumia kupigania watu wake siyo sahihi huwezi kupigania watu kwa kufanya vurugu na mandamano vinginevyo atazidi kujimaliza kisiasa.

Unajua unachokisema au umekuta tu thread inaendelea ukadnandia? unaweza ktuonyesha vurugu alizofanya aua maandamano alofanya pale chuoni?
 
Tupo Polisi,kuna ulinzi mkali sana,na hawaruhusu watu kuingia hapa kituo kikuu cha polisi,Jana usiku ilishindikana kufanya mahojiano,hivyo yataanza muda huu

owkey. msichelewe bas kutupia update mkuu. hali huko mitaani ni tete mno.
 
kamanda nanyaro ephata anakuja hapa sasa hv na updates. nimeongea nae kwa simu yupo central police station wanamsubiria mwanasheria wa CDM afike ndo mahojiano yaanze.

ubarikiwe mkuu kwa updates tunasubiri kusikia kutoka kwa nanyaro yanayojiri hapo central
 
Na.inasikitisha sana tuna wanasiasa magaidi na wahuni

Vyama vya siasa haviwatumii vibaya vijana. Bali chama kimoja tu ambacho kina uoga wa kutoka madarakani.. MAGAMBA. kwa hiyo hatushangai nyie kupewa posho, kubebwa na mafuso pamoja na kuburudishwa na kina Diamond kwenye mikutano yenu. Poleni. Yote sababu ya kuambukizwa umaskini hadi wa fikra.
 
Majitu mengne sijui yanafkiria kwa kutumia makalio.
Wanamkamata Lema wa nini?
Suala la kuzomewa kwa rc ni kutokana na majibu mabovu aliyoyatoa kwa wanafunzi kutokana na mauaji ya mwenzao mana kama umekuja wanafunz wakitegemea utatoa ufafanuz unaoeleweka then unakuja unaleta mambo yasiyoeleweka unadhani ingekuaje?
Badala ya kuwasaka wauaji wa mwanafunzi wanamkamata Lema ila kweli CCM is nothing kila wanachokfanya knawachafua zaidi ni hatar kweli mwisho wake umefika
Freedom is coming tomorow
 
Ni hatari serikali inapoanza kupigana na watu wake!
 
Lema njia anyoitumia kupigania watu wake siyo sahihi huwezi kupigania watu kwa kufanya vurugu na mandamano vinginevyo atazidi kujimaliza kisiasa.

Fuatilia habari tangu siku ya tukio, siyo unaibukia katikati na kurusha comment yako. Wapi kafanya vurugu? Utafanyaje vurugu ukiwa umepigwa pingu?
Nadhani posho ya buku 7 ya Lumumba ishaingia kwenye M-PESA yako.
 
kamanda nanyaro ephata anakuja hapa sasa hv na updates. nimeongea nae kwa simu yupo central police station wanamsubiria mwanasheria wa CDM afike ndo mahojiano yaanze.
Mkuu tunasubili hiyo update hiyo.
 
Mie ndo kwanzaaa nimetoka kifungoni cha mwezi mzima naogopa kusema nikala ban nyengne ya mwezi maana hawa mods ukisema ukweli unakula ban bt potelea mbali mungu anasema hawatazidi madhalimu ila juu yao wana khasara
 
kwa kweli walio karibu na lema wanatakiwa wamuweke kitako na kumshauri kuhusu mwendo anaenda nao. siasa sio ugomvi na kutengeneza matatizo kila siku

kuna njia nyingi za kupita kufanya siasa. hii njia aliochagua inashangaza sana tena sana. mbona kuna wabunge wengi wa chadema na vyama vyengine hawabehave kama yy? hata wenziwe mwisho watamchoka
 
ASANTE KWA APDATES, ila WATANZANIA WAJUE KWAMBA TUNAONEWA SN SISI CHADEMA. LAKIKI M4C NEVER GIVE UP. KAMANDA ATATOKA.
 
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Kwenye nchi hii kukamatwa hakutegemei mtu kuwa na kosa la jinai. Kama ni hivyo Kamanda Kamuhanda angekuwa amekamatwa kwa kuwa tume ya haki za binadamu ilimuona amehusika katika mauaji ya Mwangosi. Akili ya kawaida inaweza kukutuma kuamini kuwa kushinda kwake ubunge na kauuli zake za hivi karibuni dhidi ya mkuu wa nchi zinatosha kuwafanya wasaidizi wake kumkamata. Kama tatizo ni yaliyotokea chuoni kulikuwa na sababu gani kwa mfano ya kulichukua gari lake kituoni? Na kama anahusishwa na vurugu za wanachuo ni mtu gani mwenye weledi wa kawaida tu asiyeona ukosefu wa kusoma saikolojia ya watu ulivyosababisha kauli za mkuu wa mkoa kuzua tafrani iliyotokea. Lema anachukiwa, Lema anawindwa, na wanaofanya hivyo wamekosa busara ya kufanya matendo hayo bila kujulikana. Nguvu inayotumika kwa Lema haifanani na kosa linalotajwa. Polisi wetu lini wataacha kushughulika mambo madogo ya kudhaniwa tu na kuanza kushughulikia mamabo halisi yenye ushahidi. Wameshindwa "kuwatambua" na kuwashughulikia wang'oa kucha na meno wa Ulimboka na Kibanda na kuanza kushughulikia video za kwenye Youtube, Wameacha kushughulikia vifo vyenye utata vya wanachuo wawili - (ambalo ndilo dai la wanachuo lililozua yote haya), wanamshughulikia Lema, kana kwamba hiyo ndiyo inayojibu hitaji la wanachuo. Kama wanachuo wasingezuiwa na Lema wakaandamana hadi kwa Mkuu wa mkoa wangekuwa na kosa lipi la kumkamatia Lema? Wangemkamata kwa sababu hakuwazuia waandamanaji? Au kwa kuwa mauaji yametokea kwenye eneo lake? Hawa viongozi wetu kwa nini wanatumia nguvu kubwa zaidi kwa mambo yenye sababu dhaifu na kuacha yenye sababu nzito zilizo wazi? Mungu ibariki Tanzania
 
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa


Amekamatwa kwa hila za uchochezi wa wanafunzi, In-sighting, Interference of Police work, trying to distort the investigation of the killed student. Lema is just a super pain for Arusha and CDM. Hindering the RC to do his work and kuwachocheza wanafunzi kumfukuza RC . My take is that huyu Bwana Lema ni msiba mkubwa kwa hiki chama cha upinzani na maendeleo, Tunawaomba viongozi wa CDM to take control of this loose canon called lema and ensure that he doesn't destroy this wonderful opposition.
 
Back
Top Bottom