Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 84
Ili nijue kama ameishswekwa rumande
yuko kwenye masaburi yako.....
Ili nijue kama ameishswekwa rumande
Nonsence!!!!!!
Ili nijue kama ameishswekwa rumande
Inawezekana Malyenge yakawa na effect katika kukusababisha wewe kutokuona upuuzi wote unaotendeka na kujitukuza kwa viongozi waliopewa dhamana nchini, lakini iwapi busara?
Wapo wana wa Israel wengi ambao waliamini kuwa Musa angeweza kuwafikisha kwenye nchi ya asali bila kukumbuka agano la Mungu. Ili lile agano litimie, Mungu aliachia Musa kujitukuza na kuona kwamba yeye alikuwa bora kuliko yule aliyemtuma. Na huyo aliyemtuma alimwambia wazi kuwa hatafika kwenye nchi ya ahadi na ndivyo hivyo ilivyotokea. AGANO LILITIMIA
Silinganishi wanasiasa wa upinzani na mitume/manabii wa kale bali nalinganisha matukio ya nyakati zile na sasa pampja na historia ya ukombozi wowote duniani. Hakuna wa kuzuia AGANO LA UKOMBOZI WA PILI WA WATANZANIA. Tutapiga kelele na kukejeli lakini hakuna atakayelisimamisha AGANO KUTIMIA...Period.
Lo!Alishakaa Magereza sembuse central police..UNATUMIKA
Inamaana unabusha kuwa muamuazi wa maisha yetu ni MUNGU kama binadamu?
je yeye kuwepo Lupango ndio ishakuwa mwisho wake?
Mkuu kuna mtu kasema Tundu Lissu yupo , asiwe na wasi wasi.Mkuu natumaini uko serious; acha Lema wabaya wa Mwangosi walimtoa roho, Dr. Ulimboka kafanyiwa alivyofanyiwa, hivi karibuni kuna Kibanda, Lwakatare WABAYA WANATIGHT TU. Natumaini huna maana ya kuwa tusitetee tunaowajua wanatightiwa.
Na mimi bado niko palepale.....Nonsence!!!!!!!!! Kama unataka kujua kwanini niuliza sasa hivi!!!!
lema analeta uchochezi na ni mtu hatari kwa taifa letu..kama kuna watu wanafikiri lema ni shujaa basii wamepotea.sizazi kama mtu mwenye akili anaweza kuchochea fujo badala ya kutafuta suluisho la tatizo..POLENI IAA.Tusiruhusu wanasiasa kuingilia hata mambo yasiyowahusu.
I'm sorry, mie nina macho ninaweza kutazama na kutambua kwa kuchuja matukio mbalimbali yanayotokea nchini. Siwezi kuona au kusema kwa niaba yako bali katiba ya Jamhuri ya Tanganyika inalinda mawazo yetu sote regardless to our disabilities such as malyenge e.t.c.
Watanzania wana kila sababu ya kulalamika jinsi jeshi la polisi linavyonyanyasa wananchi na kujifanya kuwa wako juu ya sheria. Lakini watanzania hawana sababu yoyote ya kuzuia haya manyanyaso hadi pale agano la Mungu litakapotimia. Kwa wale waliowahi kusoma biblia, utaona hakukuwa na mtu yeyote na hata mitume waliokuwa na uwezo wa kuzuia agano litimie.
Sisi kama watanzania tunapaswa kujiandaa ili agano hilo litimie. Hili agano ni "MATESO KWA VIONGOZI NA WANANCHI KWA UJUMLA KABLA YA UKOMBOZI". Akina Mulongo wako wengi na Mungu ameruhusu wawepo ili agano lake litimie. Agano ni process, linapitia stages nyingi zikiwemo Mwangosi kuuawa kinyama, kubambikwa kesi za kiaina, watu kuteswa na mengine mengi yajayo.
HILI AGANO HALIWEZI KUZUIWA KAMA MAAGANO MENGINE.
Kumbe hakuna haja ya Mahakama......Wewe una uhakika gani kama hana kosa? Tatizo la tz sikuhizi ni kila mtu amekua polisi.
Na mimi bado niko palepale.....Nonsence!!!!!!!!! Kama unataka kujua kwanini niulize sasa hivi!!!!
Na mimi bado niko palepale.....Nonsence!!!!!!!!! Kama unataka kujua kwanini niulize sasa hivi!!!!
Hii nayo ni habari unajaza server ya jf tu wakati mtu hata kuchangia jf huwa huchangii