kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
endelea kutujuza yanayojiri hko.mwisho wa ubaya ni aibu
Wewe una uhakika gani kama hana kosa? Tatizo la tz sikuhizi ni kila mtu amekua polisi.
Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi onevu wa Polisi wakati huu wa usiku; Mh. Lema amekubali kukamatwa na amechukuliwa na gari la polisi wakati huu na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.
Wananchi wengi wamejitokeza ku-support mbunge wao na huenda Asubuhi wananchi wakawa wengi zaidi.
Scene two ni hali itakavyokuwa huko polisi.
Updates
Sasa wamefika CLocktower anasindikizwa na msululu wa magari ya makada waliojitokeza ku-support kuelekea kituo cha polisi.
Baada ya kumfikisha Lema Central police Arusha amesachiwa na kuingizwa ndani. Kamanda Lema alikuwa ameambatana na magari ya makamanda waliomsindikiza ili kushuhudia kinachojili hapo kituoni.
Hivi sasa polisi wamewafukuza makamanda wote hapo kituoni na kuwaambia hawatakiwi kuonekana hapo. Makamanda wameondoka kwa amani na kwenda kupaki Safari hoteli wakisubiriana kupata mwongozo.
03:41am
Wamekutana pembeni ya kituo cha polisi na wamekubaliana kuwa watawanyike wakalale hadi kesho asubuhi watajuzwa kinachoendelea. Hivyo, Lema yupo ndani na wananchi waliomsindikiza wametawanyika kwenda kulala. Tutaonana asubuhi kwa yale yatakayojiri.
11:15am
Kwa sasa Lema bado yuko ndani na bado hajahojiwa. Kwa sasa anasubiriwa Mwanasheria wake ili ahojiwe. Mpaka sasa hakuna tamko lolote juu ya sababu za kukamatwa kwake. Baada ya kuhojiwa huenda mwanasheria wake atasema kilichojiri. Watu waharuhusiwi kukaa au kusimaa vikundi vikundi eneo la polisi.
Earlier by Emanzi:
Nonsense. Wanamkamata kwa kosa gani.
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote
Ili zikusaidie nini mchawi weweTunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Ili nijue kama ameishswekwa rumandeIli zikusaidie nini mchawi wewe
Ili nijue kama ameishswekwa rumande
serukambaIli nijue kama ameishswekwa rumande
Ili nijue kama ameishswekwa rumande
JKT(National Service) kwenda tu ilikuwa ishu, wengi wao wanaogopa mazoezi ya kiukakamavu, ila wanataka waitwe MAKAMANDA. Hawa watu ni vichaa kweli. Mbona Mwigulu ameenda na amefuzu lakini hata siku moja hajawai kujipa jina la "KAMANDA"
CHADEMA na viongozi wake msifikiri sifa inaokotwa kama unavyookota maembe, sifa inatafutwa (it's earned).
Hii kweli ni Tanzania.
Watanzania wana kila sababu ya kulalamika jinsi jeshi la polisi linavyonyanyasa wananchi na kujifanya kuwa wako juu ya sheria. Lakini watanzania hawana sababu yoyote ya kuzuia haya manyanyaso hadi pale agano la Mungu litakapotimia. Kwa wale waliowahi kusoma biblia, utaona hakukuwa na mtu yeyote na hata mitume waliokuwa na uwezo wa kuzuia agano litimie.
Sisi kama watanzania tunapaswa kujiandaa ili agano hilo litimie. Hili agano ni "MATESO KWA VIONGOZI NA WANANCHI KWA UJUMLA KABLA YA UKOMBOZI". Akina Mulongo wako wengi na Mungu ameruhusu wawepo ili agano lake litimie. Agano ni process, linapitia stages nyingi zikiwemo Mwangosi kuuawa kinyama, kubambikwa kesi za kiaina, watu kuteswa na mengine mengi yajayo.
HILI AGANO HALIWEZI KUZUIWA KAMA MAAGANO MENGINE.