Ad majorem
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 1,106
- 1,677
Mzee Mgaya anauzungumziaje usajili huu? Na vipi kuhusu Kiungo mchezeshaji, Side boy wa Ubungo?Huyo anahamia CCM....... Leo muda mwingi amekuwa na mzee Mgaya wakijadiliana!
Mzee Mgaya anauzungumziaje usajili huu? Na vipi kuhusu Kiungo mchezeshaji, Side boy wa Ubungo?Huyo anahamia CCM....... Leo muda mwingi amekuwa na mzee Mgaya wakijadiliana!
Anahamia ccm moja kwa moja au anapitia NCCR Mageuzi?
Nadhani bus liko Stend tayari kwa Safari ya Nccr MageuziMbunge wa Moshi vijijini Anthony Komu anatarajia kuongea na wanahabari siku ya kesho juu ya mustakabali wa masuala mbalimbali katika nchi yetu.
Stay tuned!!!
View attachment 1402373
Sijui inawezekana Nccr wana lento gani na upinzaniKamanda Komu!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Anataka kujitangaza kwamba ameikwaa Corona?Mbunge wa Moshi vijijini Anthony Komu anatarajia kuongea na wanahabari siku ya kesho juu ya mustakabali wa masuala mbalimbali katika nchi yetu.
Stay tuned!!!
View attachment 1402373
Aliisaidia chadema kwenye ruzuku na mchango wa millioni 1 kila mwezi.Alisha wahi fanya lipi hapo nyuma hadi anaongea na waandishi wa habari
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahamia NCCR MageuziHuyo anahamia CCM....... Leo muda mwingi amekuwa na mzee Mgaya wakijadiliana!
Huyu nimesoma kule M4C kuwa anahamia NCCR... wacha aende. Kuna tetesi kuwa Mbatia ameahidiwa majimbo 20 na magufuli alipokwenda Ikulu, hivyo this guy Komu is takng chance of that offerKwa kusambaratika cdm ndiyo itanusuru uchumi wa Tanzania usiporomoke?
In God we Trust
Huyu nimesoma kule M4C kuwa anahamia NCCR... wacha aende. Kuna tetesi kuwa Mbatia ameahidiwa majimbo 20 na magufuli alipokwenda Ikulu, hivyo this guy Komu is takng chance of that offer
yes, nadhani anarudi huko. This is confirmed. Whatever, kama si NCCR atakuwa anarudi CCM. Ole mushi amaeandika makala ndefu juu yake akisema kuwa kuondoka kutaiumiza CDM, sidhani maana Moshi ni waelewa kwa kiasi fulani. anafuata 20 post offered to Mbatia..komu si alijiunga na cdm akitokea nccr?
..binafsi akienda nccr nitamheshimu kuliko akienda ccm.
Anapitia NCCRAnahamia ccm moja kwa moja au anapitia NCCR Mageuzi?
Haahaa yaani ccm ikuachie majimbo 20, haahaa huo Ni uwongo Wa mchana kweupeHuyu nimesoma kule M4C kuwa anahamia NCCR... wacha aende. Kuna tetesi kuwa Mbatia ameahidiwa majimbo 20 na magufuli alipokwenda Ikulu, hivyo this guy Komu is takng chance of that offer
yes, nadhani anarudi huko. This is confirmed. Whatever, kama si NCCR atakuwa anarudi CCM. Ole mushi amaeandika makala ndefu juu yake akisema kuwa kuondoka kutaiumiza CDM, sidhani maana Moshi ni waelewa kwa kiasi fulani. anafuata 20 post offered to Mbatia
VIP pacha wake kubenea? Sasa mbunge Wa moshi anaongelea dar ikoje? Kila mbunge ameng'ang'ania dar.
Wanaenda sawa, lakini ushawishi wa vyama hivyo ni mdogo. Let us wait and see. Labda kwa vile watasaidiwa na Jiwe kukimbia na masanduku ya kura au kutangaza hata aliyepata 1:100 kama mshindi!..wanaenda kuumiza upinzani.
..wanakwenda kugawa kura za wapenda mageuzi.
..nadhani kubenea ataenda act-wazalendo.
Tetesi zinasema hivyo. CCM inaogopa CDM na after all wanajua hata wakikuachia majimbo 20, you are part of them on the back door, as long as hupingani nao katika kushikilia dola au wanakwambia lipi la kupinga kupoteza "maboya" na natii, basi huna athali kwao. nadhani umenielewaHaahaa yaani ccm ikuachie majimbo 20, haahaa huo Ni uwongo Wa mchana kweupe
Kwani mpaka azungumze, hata angeyaandika tunge muelewa tu.Mbunge wa Moshi vijijini Anthony Komu anatarajia kuongea na wanahabari siku ya kesho juu ya mustakabali wa masuala mbalimbali katika nchi yetu.
Stay tuned!!!
View attachment 1402373
Kwani mpaka azungumze, hata angeyaandika tunge muelewa tu.
Kapewa kibali kuongea jijini Darisalama?!
Mbunge wa Moshi vijijini anaongea nini na watu wa Darisalama?!
Hahaha azuiwe anataka kutuambukiza Corona
Lumumba ofisi imefungwa?!