Mbunge Komu kuongea na wanahabari kesho

Mbunge Komu kuongea na wanahabari kesho

Mbunge wa moshi vijijini anakuja kuongelea mahomeni dar. Hii imekasje wanabodi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zuio la kufanya press conference nje ya jimbo lako? Anakuja kuongea na wananchi wake? Anakuja kuongea na wanahabari jinsi JPM na serikali yake wanavyochapa kazi na kuunga juhudi za kuijenga Tanzania.
 
Anasemaje? Hii nchi upumbavu hautaisha kwa sababu ya njaa. Binadamu tuache kuuza utu wetu, hivi kwani tunakufa mara ngapi?
Msiniambie nime jump into conclusion. You know better.
Amejiondoa Chadema, anaongea vitu visivyoeleweka
 
Miaka inakimbia sana, majuzi tu hapa 2010 Dr. Slaa alisababisha ushindi wa JK kushuka kwa asilimia 20+, miaka mitatu ama minne baadae chadema walikua juu sana, sana, walianza kukubalika mpaka vijijini ambako ndo haswa kuna wapiga kura, walikubalika sana. Ilikua ukikosa kuhudhuria rallies zao unajihisi kama umekikosea heshima chama. kisha boooooom 2015, mwenyekiti mbowe akafanya maamuzi magumu, akacheza kamari ambayo binafsi ndo ilinifanya niwatoe chadema moyoni na siasa kwa ujumla. Nilijisikia kuwachukia na kuwadharau sana. Na naamini kila kinachowatokea leo na kesho ni aftermath ya uamuzi wa kipumbavu sana aliofanya mbowe back in 2015. Ile ndo ilikua turning point, binafsi naamini kama historians wataamua kuweka kumbukumbu za chadema kwa usahihi, tarehe ya kuzaliwa siijui lakini tarehe sahihi kilipokufa chama ni tarehe ambayo kilikubali kumpokea lowassa na kuua misingi yote ya kuanzishwa kwake.
 
Na hii Corona kwanini asiwapelekee DVD ya anachotaka kusema na wakitaka kumuuliza maswali waandishi wampigie simu?.., haya mambo ni kuleta mikusanyiko unnecessary, aangalie badala ya kuwapelekea wananchi maendeleo asiwapelee corona
 
... Ambayo ni leo... Any update?



Cc: mahondaw
Hiyo
IMG_20200329_150906.jpg
 
Iliposimama ulipanda ukashuka wapi?
Miaka inakimbia sana, majuzi tu hapa 2010 Dr. Slaa alisababisha ushindi wa JK kushuka kwa asilimia 20+, miaka mitatu ama minne baadae chadema walikua juu sana, sana, walianza kukubalika mpaka vijijini ambako ndo haswa kuna wapiga kura, walikubalika sana. Ilikua ukikosa kuhudhuria rallies zao unajihisi kama umekikosea heshima chama. kisha boooooom 2015, mwenyekiti mbowe akafanya maamuzi magumu, akacheza kamari ambayo binafsi ndo ilinifanya niwatoe chadema moyoni na siasa kwa ujumla. Nilijisikia kuwachukia na kuwadharau sana. Na naamini kila kinachowatokea leo na kesho ni aftermath ya uamuzi wa kipumbavu sana aliofanya mbowe back in 2015. Ile ndo ilikua turning point, binafsi naamini kama historians wataamua kuweka kumbukumbu za chadema kwa usahihi, tarehe ya kuzaliwa siijui lakini tarehe sahihi kilipokufa chama ni tarehe ambayo kilikubali kumpokea lowassa na kuua misingi yote ya kuanzishwa kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom