Aisee duh, tuhuma nzito hizi.....!!Na aseme ukweli kwa nini alimuua Stratoni Mushy. Shetani kabisa.
Chadema kinazidi kusambaratika
Wabunge 6 wa Chadema wanahamia CCM akiwemo huyo uliyemtaja!Mzee Mgaya anauzungumziaje usajili huu? Na vipi kuhusu Kiungo mchezeshaji, Side boy wa Ubungo?
Mzee Mgaya ameshauri Komu na Selasini wapitie njia ya Nccr.......lakini Komu amekomaa anataka apokelewe na Polepole!..komu si alijiunga na cdm akitokea nccr?
..binafsi akienda nccr nitamheshimu kuliko akienda ccm.
Kama ameweka sharti la kupokelewa na Slowslow haina shida, kagoma kupokelewa na 'wochimeni' anataka angalau apokelewe na 'house girl' kutunza status kidogo.Mzee Mgaya ameshauri Komu na Selasini wapitie njia ya Nccr.......lakini Komu amekomaa anataka apokelewe na Polepole!
Tumshauri afanye hivyo!wapigwa kula wake watamshangilia kwa zumari na tarumbeta hadi nyumbani kwakeKwa nini asifanyie mkutano jimboni kwake,hata Moshi waandishi wapo
Yeye alipandia njiapanda ya Himo amefika Korogwe anateremka watapanda wengine na safari itaendelea.Chadema kinazidi kusambaratika
Huyu nimesoma kule M4C kuwa anahamia NCCR... wacha aende. Kuna tetesi kuwa Mbatia ameahidiwa majimbo 20 na magufuli alipokwenda Ikulu, hivyo this guy Komu is takng chance of that offer
Haahaa yaani ccm ikuachie majimbo 20, haahaa huo Ni uwongo Wa mchana kweupe
..wanaenda kuumiza upinzani.
..wanakwenda kugawa kura za wapenda mageuzi.
..nadhani kubenea ataenda act-wazalendo.
Mmh, ngumu kumeza...Tetesi zinasema hivyo. CCM inaogopa CDM na after all wanajua hata wakikuachia majimbo 20, you are part of them on the back door, as long as hupingani nao katika kushikilia dola au wanakwambia lipi la kupinga kupoteza "maboya" na natii, basi huna athali kwao. nadhani umenielewa