Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 703
- 1,143
Moja ya Taarifa za kusikitisha leo ni kifo cha Bi Anna Komu, kada wa CHADEMA kwa zaidi ya miongo 3.
Anna Komu alishika nyazifa mbalimbali za ngazi za juu kabisa ikiwemo ujumbe wa bodi ya udhamini ndani ya CHADEMA kwa nyakati tofauti.
Hata hivyo mwaka jana kwa kushirikia na Said Issa walikiburuza chama chao mahakamani wakidai mgawanyo sawa wa mali kesi iliyopelekea CHADEMA kuzuiwa kufanya shughuli zake za kisiasa.
Kama hiyo haitoshi mwishoni mwa mwaka jana waliwasilisha maombi madogo kuomba amri ya mahakama ya kukamatwa kwa viongozi wote wakuu wa CHADEMA.
Soma Pia: Anna Maulidah Komu Afariki Dunia
Swali linakuja, Je, CHADEMA watashiriki msiba huu kwa namna gani? Je, watamuenzi na kumkumbuka kama kada wao wa muda mrefu? Au watampotezea?
Anna Komu alishika nyazifa mbalimbali za ngazi za juu kabisa ikiwemo ujumbe wa bodi ya udhamini ndani ya CHADEMA kwa nyakati tofauti.
Hata hivyo mwaka jana kwa kushirikia na Said Issa walikiburuza chama chao mahakamani wakidai mgawanyo sawa wa mali kesi iliyopelekea CHADEMA kuzuiwa kufanya shughuli zake za kisiasa.
Kama hiyo haitoshi mwishoni mwa mwaka jana waliwasilisha maombi madogo kuomba amri ya mahakama ya kukamatwa kwa viongozi wote wakuu wa CHADEMA.
Soma Pia: Anna Maulidah Komu Afariki Dunia
Swali linakuja, Je, CHADEMA watashiriki msiba huu kwa namna gani? Je, watamuenzi na kumkumbuka kama kada wao wa muda mrefu? Au watampotezea?