Mbunge wa moshi vijijini anakuja kuongelea mahomeni dar. Hii imekasje wanabodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge anaruhusiwa kutumia logo ya bunge?
We unaonaje ni uongo au
may be, mana naona kama wanalipwa+ kutishiwa, so ukiwa muoga na njaa kali lazima kadhia hii ikukumbeAkitoka huyo anafuatia 30
We unaonaje ni uongo au
wasaliti hutumia chochoteMbunge anaruhusiwa kutumia logo ya bunge?
Kamanda Komu!
Sent from my iPhone using Tapatalk
Chadema kinazidi kusambaratika
Aisee.
Aiseee nini sasa?Aisee.
Mbona Zitto alipotumia haukuhoji kitu?Mbunge anaruhusiwa kutumia logo ya bunge?
Hata sijui.Aiseee nini sasa?
Sifa ya ufipa ni matusi na kuropoka ropoka huwezi kuwa mtaa wa ufipa Kama sio mhuni kifupi ni genge la wahuniHapo ufipa mnafundishwa lugha ya kihuni huni tu. Vipi lile bus alilopewa zawadi Lisu huko ubelgiji mbona kimya?