Mbunge Komu kuongea na wanahabari kesho

Mbunge Komu kuongea na wanahabari kesho

Kwani mpaka azungumze, hata angeyaandika tunge muelewa tu.
Kapewa kibali kuongea jijini Darisalama?!

Mbunge wa Moshi vijijini anaongea nini na watu wa Darisalama?!

Hahaha azuiwe anataka kutuambukiza Corona

Lumumba ofisi imefungwa?!
Nyarandu alitangaza kujitoa CCM akiwa mkoa wa Arusha na yeye akiwa Mbunge wa huko singida, hii imekaaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • FB_IMG_1583467652422.jpg
    FB_IMG_1583467652422.jpg
    46.5 KB · Views: 17
Mbowe alimbeba sana Komu sasa amemgeuka, kwenye kura za maoni aliyeshinda ni Lucy Owenya. Mbowe alifanya figisu akamtoa Lucy akamuweka huyu shetani, sasa anakwenda kumdhalilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom