Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,874
- 37,653
Amekufa hajafa tujue kimoja.Tuna mambo mengi ya kufanya bashe upoo nakupa hi
Ha ha ha mkuu,kweli jf noma!
Amekufa hajafa tujue kimoja.Tuna mambo mengi ya kufanya bashe upoo nakupa hi
pumziko la milele huwa kwa marehemu tuMungu ampe pumziko la milele
Maiti ipo mortuary, bwana ametoa, bwana ametwaa jina la bwana li2kuzwe
seriously ....????
ahh! mbona nimeiokosa hii alitangaza lini.. kingwa! anaanza kuwa mchekeshaji sasa...
anyways get well soon dactari..
amelazwa wapi nkammalizie?
Namwombea apate unafuu na kupona haraka. Amin
Dah tulimpenda ila mungu amempenda zaidi amennnnMaiti ipo mortuary, bwana ametoa, bwana ametwaa jina la bwana li2kuzwe
Hizi habari za kweli au?... maana naona michango iliyomo humu kama vile utani utani mtupu...
Dah! Mwenyezi Mungu umpe Uzima..mbona linchi letu linazidi kutisha jamani?Mkuu habari za ajali ni rasmi ila habari zaku RIP ndio sio rasmi mpaka nwenezi nape aje adhibitishe au akanushe
Dah! Mwenyezi Mungu umpe Uzima..mbona linchi letu linazidi kutisha jamani?