Mbunge Kigwangalla apata ajali mbaya (2012)

Mbunge Kigwangalla apata ajali mbaya (2012)

Status
Not open for further replies.
Ajali haina kinga. Hakuna mkono wa mtu hapo. Ingekuwa ajali ya risasi tungesikia polisi wetu wangeibuka na hoja kuwa jamaa alipigwa na kitu chenye ncha kali
 
Rip kigwangala.malipo ya dhuluma unazozifanya ndo hayo na bado chezea mtoto wa shehe wewe....rest in peace
 
ningekuwa mimi kigwa,baada ya lile sakata ningebadili dereva,garage ya kufanya service magari yake, na viwanja vya kujirusha!pole sana kigwangwala!wewe jipe moyo.mungu bado anapenda uishi,ila kuwa makini
 
Rip kigwangala.malipo ya dhuluma unazozifanya ndo hayo na bado chezea mtoto wa shehe wewe....rest in peace

A second runner up who eventually became the representative for mzega................ Rekebisha hapo the guy still alive
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom