Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

Hahahaaaaa! Kwikwiiiiii! Huhuhuuuu! Huyu jamaa aliye weka hii post nadhani ni mganga wa kienyeji kama mchawi, yaan huu ni wakati wa kulilia kubaki ccm badala ya kumshukuru mungu kwa kumwondoa kwenye dimbwi la majanga. Ccm hatariiiii, weka mbali na watoto.
 
Shem mi hapo naishia kucheka tu, ni kama nyoka ameanza kujitafuna mwenyewe kwa kuanzia mkiani, huyo Hamisi Bagaile ndo walewale na hao wa wilayani ndani ya ukoo wao wa panya, sasa yeye anataka kufanya maajabu ya mbuzi kwenye kundi lao la ng'ombe..!? wacha kabisa. Waache wakaangane kwa mafuta yao wenyewe. Nimeikumbuka ile ofa yake ya vitumbua though.

Unamaanisha hivi? 1390623580270.jpg
 
Kama anaweza kusimama na.kusema hajawahi kuwa favoured huko ndani na ameweza kuwa transparent kwa kiwango hiki na kama hajui mtu kawahi kufanyiwa haya tangu ajiunge na chama chake basi ana hoja! !!!!!!!!

Lakini kama katika kitabu chake cha siasa kuna ukurasa una hayo basi ajue sasa zamu
yake!!!!!

Tunapolalamikia umeme bei juu,afya huduma mashaka,elimu inashuka,viwango vya barabara na mengineyo ni mfumo huo huo na yeye yumo ndani!!!!!!

Mi namshauri apiganie ndani tu hana haja ya kupiga kelele maana ayasemayo ndio life huku chini!!!!!
 
Nimechoka kupambana na watu wenye nguvu??????Stupid idiot,sasa unataka sisi tufanye nini?chukua hatua kama una ubavu!!!
 
Pole sana Mh Kigwangalla

Ndio siasa zipo hivyo

Hata hivyo ukichoka kukemea maovu ndio itakuwa mwisho wako mwenyewe na mwajiri wako CCM
 
Nimechoka kupambana na watu wenye nguvu??????Stupid idiot,sasa unataka sisi tufanye nini?chukua hatua kama una ubavu!!!

Hana ubavu wa kwenda popote zaidi ya kulalamika na kutaka huruma ya uongozi wa CCM.... I wish he was this much transparent to all the matters tukianzia na ubunge wake kuwa number 3 kwenye kura za maoni and yet kupitishwa!
 
muoga abaki na heshima!!!?? Labda toka kwa waoga wenzie.
 
Tehe! tehe! Wakati hawa wafu wanazikana wao kwa wao huko mikoani wananchi wanazipiga kiberiti hizi takataka!

522080_510251082372224_138549568_n.jpg

Dr Slaa mhuni sana anawambia wtu walete kadi azichome wakati yaake ipo kwenye waaleti na anailipia
 
Ndani ya ccm wanaopigania maslahi ya wanyonge na umma kiujumla hawako salama, kisiasa au kimwili!
 
ccm siku zote hawataki kuona watanzania wanapata maendeleo. Wanataka wagawe fedha hizo kwenye kata ili zikatafunwe. Ndg Kigwangala pambana na hao fisi na wakikushinda au kukuvua madaraka jipindue upande wa pili ili tukomboe taifa kwa pamoja.
 
Mizigo Ccm haiwezi kumvua mbunge uanachama..hata kama ameoza watakaa nae mmo.
 
Hapa ndipo CCM walipotufikisha. Wakikuzingua njoo uongeze nguvu huku tuendeleze mapambano. Najua hujachoka ila umeona ni upuuzi kupambana ndani ya jeshi ndumilakuwili. Karibu huku kwenye jeshi la anga tuendelee kuikosesha CCM usingizi
 
Back
Top Bottom