Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

Mbunge Hamis Kigwangalla hatarini kuvuliwa uanachama CCM

Inategemea kama kavunja kanuni hapo sawa lakoni kufukuzana kibabe kama chadema siyo ishu lazima kosa lijulikana na vikao vyote mhimu viwepo siyo kama kadima mtei akisema hakutaki unaondoka.

ukisia neno CHADEMA unaweweseka sana, if you cant fight them, join them.
 
Taarifa toka nzega ccm wamejipanga kuwatimua madiwani wake na mbunge wao kwaku dharau maelekezo ya ccm ktk kutekeleza ilani ya ccm kwakupitisha pesa ziende ktk miradi ya maendeleo vijiji hata kama ni kinyume cha taratibu za halmashauri lkn ccm wanalazimisha kuwa hivyo
Thubutu,, Nani magamba!
 
Inategemea kama kavunja kanuni hapo sawa lakoni kufukuzana kibabe kama chadema siyo ishu lazima kosa lijulikana na vikao vyote mhimu viwepo siyo kama kadima mtei akisema hakutaki unaondoka.

Mbona kule bukoba pamoja na kuambiwa meya amekwenda kinyume na taratibu za fedha hamjamfuza.
 
Back
Top Bottom