Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Heshima kwenu
nimekuwa nikifuatlia mikutano ya bunge hasa Wizara ya Madini na Fedha join hii, nimegundua kuwa mhe Mwijage nae ni miongoni mwa Tunu za Taifa...Mara zote michango yake inalenga kuboresha mambo akijitofautisha na wanafiki wengine

Jioni ya leo katika finance bill ameeleza namna ambayo Waziri Mkuya anaelekea kutupeleka kwenye economic crisis soon kwenye issue ya uagizaji mafuta

mhe mbunge ubarikiwe sana
Hiki ni kichwa hazina kubwa haina mfano!.
Pasco
 
Kaongea vizuri sana Mwijage,kugawiwa pesa takukuru ichunguze na si kazi ya bunge katika hili then kama palikuwa na aina ya rushwa basi itasemwa na kwa Ruge anachotakiwa kukifanya ni kulipa kodi katika pesa alizopata endapo kama hakulipa kodi TRA basi wakachukue kodi yao ..ishu zingine ni porojo tu
 
Watu wameshaonwa na kupata chao, mtaona maajabu

Hapo hakuna lolote la maana litakalopokea...chezea mhaya wewe......wamechapata chao cha kuwasaidia kwenye uchaguzi wa mwaka kesho.....sasa ni kutetea mafisadi tu kwenda mbele.....
 
ccm wamejipanga.wamewachagua wabunge wabovu wawatetea wezi .
 
Hakuna lolote litakaloamuliwa Na Bunge Hilo tayari wabunge WA ccm wamedhibitiwa Na mafisadi.
 
ndivyo tulivyo watu wa huku
Niliwahi kuchungulia CV yake, Niliona amebobea sana katika mambo ya mafuta. Kuna kipindi alikuwa anaandika sana makala za kitaalamu kuhusu mafuta katika gazeti la Raia Mwema.
Ila the way anavyochangia pamoja na weledi katika issue za mafuta naona kama anajipigia debe nae wamuone na kumfikiria kwenye cheo fulani.
 
Heshima kwenu
nimekuwa nikifuatlia mikutano ya bunge hasa Wizara ya Madini na Fedha join hii, nimegundua kuwa mhe Mwijage nae ni miongoni mwa Tunu za Taifa...Mara zote michango yake inalenga kuboresha mambo akijitofautisha na wanafiki wengine

Jioni ya leo katika finance bill ameeleza namna ambayo Waziri Mkuya anaelekea kutupeleka kwenye economic crisis soon kwenye issue ya uagizaji mafuta

mhe mbunge ubarikiwe sana

Ukoo wa panya
 

Attachments

  • 1417102706427.jpg
    1417102706427.jpg
    29.4 KB · Views: 334
wanatakatisha hela chafu mwizi wa mabilion kachukuwa mwizi wa kuku kaiba
 
Kaongea vizuri sana Mwijage,kugawiwa pesa takukuru ichunguze na si kazi ya bunge katika hili then kama palikuwa na aina ya rushwa basi itasemwa na kwa Ruge anachotakiwa kukifanya ni kulipa kodi katika pesa alizopata endapo kama hakulipa kodi TRA basi wakachukue kodi yao ..ishu zingine ni porojo tu

Hakuna lolote alilozungumza pale zaidi ya kutumikia familia ya mapaka.
 

Attachments

  • 1417102972359.jpg
    1417102972359.jpg
    99.3 KB · Views: 721
Kweli wabunge wengi wa ccm ni kichwa maji!
 
C'CM manyau makubwa yasiyo na huruma....kuna siku mtamuona huyo Shetan mnaemtumikia kutetea ujinga namna hii
..adui wa nchi hii siyo ujinga njaa na maradhi Bali ni CCM
 
Huyu ni mjumbe wa Kamati ya nishati na madini, michango yake haikuwa na uzalendo hasa ikijumuishwa na wajumbe wengine wa kamati hii waliochangia. Walichokuwa wanafanya ni kutetea na siyo kuelezea ukweli wa kilichotekea.
 
Nshomile tena, hakianani rege utatumaliza
 
Back
Top Bottom