Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Mbunge Charles Mwijage ni hatari sana

Watanzania mna matatizo gani,mmejawa na negativities sana na if you don't change there is nothing out of it,kumbuka we are all mortals and we highly differ from Angels ..hatutaweza kumpata malaika aje kuwa waziri Tz
 
Nafikiri jamaa apewe nafasi ya kufanya kazi kwanza kuliko kumhukumu wakati kazi yenyewe hajaanza.
 
Heshima kwenu
nimekuwa nikifuatlia mikutano ya bunge hasa Wizara ya Madini na Fedha join hii, nimegundua kuwa mhe Mwijage nae ni miongoni mwa Tunu za Taifa...Mara zote michango yake inalenga kuboresha mambo akijitofautisha na wanafiki wengine

Jioni ya leo katika finance bill ameeleza namna ambayo Waziri Mkuya anaelekea kutupeleka kwenye economic crisis soon kwenye issue ya uagizaji mafuta

mhe mbunge ubarikiwe sana

Ni ndugu yako nini? CCM kuna mwenye akili zake binafsi? Si akili za chama? Atafanya nini kwa utashi wake kama sio maelekezo ya CCM
 
Watanzania mna matatizo gani,mmejawa na negativities sana na if you don't change there is nothing out of it,kumbuka we are all mortals and we highly differ from Angels ..hatutaweza kumpata malaika aje kuwa waziri Tz

You are right, lakini kuna minimum standards ambazo tunazitegemea toka kwa mwanadamu wa kawaida na sio angel. None in the CCM family has those !
 
Back
Top Bottom