beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge Mwita Getere ameitaka Serikali kutafuta Mfumo thabiti ili Wastaafu waweze kupata Fedha zao akisema "Watu wanakufa wanadai hela. Kwanini mtu ametumikia Nchi hii anakufa anadai hela?"
Ameongeza, "Suala la Wastaafu ni kero kubwa katika Nchi yetu. Serikali inatakiwa kujitahidi kwenye suala hili kwani Wastaafu wanaolia na kwenda kwenye Maofisi ni wengi kuliko ilivyo kawaida"
Chanzo: BUNGE
Ameongeza, "Suala la Wastaafu ni kero kubwa katika Nchi yetu. Serikali inatakiwa kujitahidi kwenye suala hili kwani Wastaafu wanaolia na kwenda kwenye Maofisi ni wengi kuliko ilivyo kawaida"
Chanzo: BUNGE