haya ndio matatizo yenu. kila wakati chadema na ccm hata mkubwa ccm akiuwa wale ccm wa hapa jf watamtetea na hata mkubwa wa chadema akibaka basi wale wafuasi wa chadema wa jf watamtetea ,ningenasihi huu upumbavu wa ccm na chadema umalizike hapa jf, ili tupate suluhisho la matatizo tulionayo ni lazima tukubali kuwa neutral. sahauni ccm ,chadema , na cuf. hebu jaribu kujiamini wewe as you bila kumtegemea mbowe wala zitto wala kikwete wala lipumba, wala vyama vyao.ninachojua mimi ushabiki uko kwenye michezo sio siasa ,kwenye kosa lisemwe kosa hata kama limefanywa na mheshimiwa rais ama mheshimiwa mwenyekiti wa chama fulani.achaneni na uchadema na uccm kama ufisadi usemwe na kama uzinifu ukemewe.mwanasiasa bora ni yule aliokuwa neutral katika kurekebisha matatizo.