Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

Ni game flaani hivi inachezeshwa ili umma uone kama kuna misunderstanding baadae sana wana wanarudi kundini na majority ya watz haitoamini.amin usiamini
 
Slaa yupo likizo vp na mnyika je?bado majibu yanatatizo.
 
huyu kwa sasa sijui aseme nini nimwamini maana ilishasema siasa ni kubadili gia angani...... "over my dead body cdm haiwezi kumpokea lowasa". sasa hata hiyo kauli yake yaweza kuwa ni yaleyale.

nasubiria dr slaa mwenyewe atoe kauli.

kwa sasa mbowe nitamwamini tu akisema mama yake mzazi ni mwanamke.
 
Mbona mbowe ni kama kachanganyikiwa kwanini slaa asiongee mwenyewe na vyombo vya habari?acha kudanganya nyerere alisema ukifanya Zambi haitakuacha Zambi ya kumtoa zitto kabwe eti msaliti hiyo ni zambi na ndo hayo ya slaa eti yupo likizo

Nyerere sio mungu
 
mbona mbakuwa hivyo jamani Mnyika anaumwa muelewe mcwe vigeugeu kuweni wapole mtapata habari iliyo makini na ya kuondoa kitenfawili ambacho mnacho viongozi wote wa chama cha CHADEMA wapo
 
huyu kwa sasa sijui aseme nini nimwamini maana ilishasema siasa ni kubadili gia angani...... "over my dead body cdm haiwezi kumpokea lowasa". sasa hata hiyo kauli yake yaweza kuwa ni yaleyale.

nasubiria dr slaa mwenyewe atoe kauli.

kwa sasa mbowe nitamwamini tu akisema mama yake mzazi ni mwanamke.


Huyu kamanda haaminiki kabisa kauli zake, na maranyingi akisema ndio maana yake ni hapana sijui ni kwa faida ya nani.!!?
 
Mbowe kwa uwongo kama Yericko
 

Attachments

  • 1438511062817.jpg
    1438511062817.jpg
    49.9 KB · Views: 349
Nauamini Sana Uongozi Wangu Wa Juu Wa Chadema, Naamini Hakuna Kitakacho Haribika
 
Hili suala Lowasa kupata nafasi upinzani limejenga wivu ambao hauna maana ni kama utoto vile. Wanaotakiwa kulaumu ni ukawa na chadema wenyewe kwa kigezo cha kuhofia kushindwa wengine ni "pilpili za shamba ..."
Tangu lini mtu akaacha mke au mume halafu akamsema vizuri au hata tu aone anaoa au kuolewa?
 
Yaani mmeshamdampo magufuri na mibarabara yake mibovu, mnaweweseka na chadema.

Cccm ni shida.

Ukiwa sisiemu, kama wewe si mwendawazimu basi ni kichaa.
 
slaa awezi kukaa meza moja na fisadi lowassa. Plus wamenyang*anya tonge lake la urais
 
Back
Top Bottom