Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

Akizungumza na Radio one mda huu saa 4, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe, kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja.

Alipoulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.

Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.

Alipoulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.

Alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.

Walipomuuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.


Chanzo: Radio one

Afu chadema na viongozi wao wote lazima wapitie radio one why?
 
ni kwa nini maccm wanamjadili sana doctor slaa mheshimiwa lowass??wamemsahau mbabe wao makufuli?bado kidogo mtapiga mbizi
 
Akizungumza na Radio one mda wa saa 4, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe, kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja.

Alipoulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.

Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.

Alipoulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.
Alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.
Walipomuuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.
Chanzo: Radio one
Chanzo: Radio one
 
wamuondoe lowasa hatumtaki.

mkuu don't take politicians seriously,mbowe anasema slaa alikuwemo na alikubaliana na wote kwenye kikao cha kumkaribisha lowassa na kumwachia awe mgombea wa chadema na ukawa,...kama humtaki lowassa unamtaka slaa,nakupa pole sababu slaa mwenyewe amekubaliana na uamuzi wa kamati kuu.
 
Huyo anahadaa watu kwa utahira wake, awe likizo wakati wa mishemishe du! amekalili ujuha wa wafuasi wake niwote
 
kWELI LOWASA MWANAUME,MZEE WA MAPADLOCK AMESAAHULIKA GHAFLA
NA VYAMA VIKUU VIWILI VIMETIKISIKA,HAIJAWAHI KUTOKEA KATIKA SIASA ZA TANZANIA
HUENDA MUNGU ANAFANYA JAMBO HAPA.
 
Akizungumza na Radio one mda huu saa 4, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe, kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja.

Alipoulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.

Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.

Alipoulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.

Alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.

Walipomuuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.


Chanzo: Radio one

.
Chadema raha.
Mungu mwanzo, Mungu mwisho...
.
 
Hao wote wanaojifanya kupiga kelele hapa ni green guard na washirika wao , huo nimkakati maalum.Wanaojifanya wana uchungu na chadema,kumbe unafiki mtupu.
Wapiganaji tulieni,makamanda wapo gado.
 
Maswali yenye majibu ni kamahayo Radio one ni yanani na Mwenyekiti wa Chama hicho ni nani?na wanatokea wapi? Nionavyo mimi lkn.
 
Mimi nashangaa hadi watu wa ccm wanafuatilia zaidi mambo ya ukawa kuliko ya kwao,ndo kusema upepo umegeuka?
 
Back
Top Bottom