R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,578
Mambo bado yamekuwa magumu kwa mh willbroad slaa; baada ya mwenyekiti wa chama - mbowe kumpatia likizo ya wiki moja toka ijumaa .
Ingawa kwa wajuzi wa mambo ni ilikupisha mchakato wa uraisi kutokana na kuwa na msimamo tofauti.
Hii kauli mbowe kairudia wakati akiojiwa na radio one; kuwa slaa yupo likizo ya wiki.
Ingawa kwa wajuzi wa mambo ni ilikupisha mchakato wa uraisi kutokana na kuwa na msimamo tofauti.
Hii kauli mbowe kairudia wakati akiojiwa na radio one; kuwa slaa yupo likizo ya wiki.